LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Acheni kumtisha,wake za watu wanatafunwa uzuri tu.
Hata akija kuoa bado inaweza kumtokea tu.Keshasema hajaoa wala hana mchumba.
jamani jamani khaa! mawazo hua yanakuaga mida kama iyo nane tisa usikuMtoa mada,kulikoni story nzito kama hii ukaishusha usiku wa manane? Au ulikuwa naye pembeni?
Mshawahi kufanya romance bila ku go all the way?
Ningekuwa wewe kusema ukweli ningempa dozi kisha niingie mitini,utaache mdondo bana?
ahh hizi story hizi
inaonekana bado hujaoa ndo mana unasema tunamtisha,kama unae mke mpatie mshkj kwa mda ndo utagundua sumu yake
Duh!
Bishanga! Kuna usemi huu,(KILA KIMLACHO MWENZIE HAKIKA INA NJAA) lakini sasa MKE WA MTU jamani?
Ukipenda mke wa mtu penda na.............................
Ushauri wangu wa bure ni akae mbali naye!
jamani jamani khaa! mawazo hua yanakuaga mida kama iyo nane tisa usiku
Si ndio kila siku atakuwa anaulizia jibu akiambiwa hapana kwake inakuwa sio jibu anasubiri tena kesho yake, miaka yetu wakati bado tunaomba unyumba kupitia barua tulikuwa tukimalizia kwa kuandika 'nategemea jibu zuri'
Ngomz unanikera wewe,dume gani weye,kwani kumlamba utamlambia viwanja vya mnazi mmoja kila mtu aone? We vipi?