Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

we bwana acha izo....akijiingiza mstarini, kula head mambo mengine bdae

kuna mtoa mada mmoja yeye alisema kila akitongoza anakataliwa sasa hiyo ngoma ugemsogea kwa KISGINO yule bigwa wa kukataliwa pole
 
Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo j’tano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but I’m not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.

Usiogope Mkuu mwenzio anataka kujihakikishia lifti kila siku si unajua adha ya daladala hapa mjini, na kwa wengine kwa usalama wa wake zenu jitahidi kuwapeleka wanakotoka au kuwakikishia usafiri vinginevyo watatafunwa na watoa lifti ha haaaa.....
 
ooh kaka cha mtu sumu, ogopa sana mke wa mtu, kumbuka mla cha watu na chake huliwa. omba mungu akuondolee hiyo tamaa ya kuwa na huyu mke wa mtu. kumbuka wazuri ni wengi na wanazidi kuzaliwa. mm na imani kuwa hata huyo mchumba wako n mzuri sana na ndo maana ukaamua uamuzi wa kuwa nae.
 
Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo j’tano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but I’m not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.

Mithali:
Usiutamani uzuri wake moyoni mwako; wala usikubali akunase kwa kope zake.
Je! mtu aweza kukanyaga makaa ya moto na nyayo zake zisiungue? Ndivyo ilivyo aingiaye kwa mke wa mtu.
Mkuu, ikimbie zinaa; Ukitembea na mke wa mtu, ni sawa na kukanyaga makaa ya moto! The choice is yours; unaweza kusuka au kunyoa.
 
kuwa na mchumba i natosha kuonyesha kuwa ni mzuri,,, hadi kuweza kutamka mchumba kwa kweli unamkubali mwenzako,,,, sasa mke wa mtu wa nini ? achana na tamaa za mwili,,, mpendezeshe mchumba wako huyooooo... utajakufa siku si zako....
 
Back
Top Bottom