Bukoba , mji mdogo naoupenda zaidi Tz. Pametulia, beach life, vyakula vya asili, hakuna uswahiliTanzania yote ni nzuri hakuna sehemu ambayo sitaki kurudi tena. Sema mji wa Bukoba nadhani ndo mji wa hovyo kuliko miji yote ya Tanzania. Lindi nako sijajua paliwezaje kuwa manispaa wakati ni mji unaonuka umaskini. Ndo mji niliona gesti imefunguliwa na kiongozi wa mbio za mwenge kama mradi wa maendeleo.
Labda nikae mwaka ila kama ni miezi michache sina shida maana kuna baadhi ya vijiji vina umeme, access ya maji na hospital nzuri ipo. Ukiwa na hela ya kutosha, hautoboreka unless kama ni mtu unaependa kutoka sanamimi nikikaa sehemu za ndani ndani(vijijini) kwenye mkoa wowote nachoka aisee
Sijui unatokea mkoa upi boss, kwenye neema! 😄Dar-es-Salaam.
Kuja eneo hili ni kwa sababu INABIDI.
Ila ni mkoa wa hivyo kupindukia.
Joto la hatari
Mji unanuka, harufu ya ajabu
Usafiri ni 'mkiki'
N.k n.k.
Zanzibar huwa sipaelewiKuna mikoa unaenda mara unatishika, watu wanachomana visu, kila bar lazima ugomvi utokee.
Wasichana wanavuta bangi, wanapigana na punda hadi punda anakufa.
Arusha sina hamu
Tanzania ni nchi nzuri.Nimefika Lindi,Mtwara,Morogoro, Dodoma,Tanga,Kilimanjaro,Arusha na Mwanza na kote naweza kurudi anytime labda kwasababu huwa naenda kimatembezi na kukaa siku 3-5 tu.
Singida ipo kwenye mipango yangu.Tanzania ni nchi nzuri.
Tunatofautiana namna kuyaona mambo tu.
Kuna mdau anasema Singida hakufai but ukienda kwa jicho la mtalii...Singida kuna miinuko na mawe inayovutia kutazama...kuna ziwa Singida upande wa mashariki kuna mawe yanotoa view nzuri sana.
Kigoma kuna beach tamu sana.
Tatizo la wengi ni jicho la kuona vitu vipya hawana, umasikini hupofusha macho.
Singida ukienda na jicho la 3 kuna fursa ya uwekezaji.Singida ipo kwenye mipango yangu.
Ukiwa huna hela huwezi kupaelewa. Matajiri toka pande zote za dunia huja Zanzibar ku enjoy.Zanzibar huwa sipaelewi
Sio kweli kwa upande wa kitimotoDaslamu -- KITIMOTO inapatikana kwa shida sana