Ni mkoa gani umeshawahi kufika na hautamani kurudi tena?

Ni mkoa gani umeshawahi kufika na hautamani kurudi tena?

Kuna mikoa unaenda mara unatishika, watu wanachomana visu, kila bar lazima ugomvi utokee.
Wasichana wanavuta bangi, wanapigana na punda hadi punda anakufa.

Arusha sina hamu
DAR ES SALAAM......li-mkoa moja la HOVYO sana.
 
Tanzania yote ni nzuri hakuna sehemu ambayo sitaki kurudi tena. Sema mji wa Bukoba nadhani ndo mji wa hovyo kuliko miji yote ya Tanzania. Lindi nako sijajua paliwezaje kuwa manispaa wakati ni mji unaonuka umaskini. Ndo mji niliona gesti imefunguliwa na kiongozi wa mbio za mwenge kama mradi wa maendeleo.

Bukoba itoe kwenye upuuzi wa lindi,bkb levo nyingine asee,sema hupendi mvua.
 
TANZANIA hakuna sehemu mbaya..tembelea nchi kama Congo au za huko West Africa utaelewa nini namaanisha..
 
Mahala popote naishi kikubwa chakula na maji safi viwepo,
 
DAA SILAMU a.k.a NJAA SILAMU

Jotroo, minuko kama yote.

Kila pahala pananuka mavi na samaki waliooza.

FUKUTO, msongamano, chips za mitaroni 🥴

Wavulana wa NJAA SILAMU wanakunya aiseee DAAAAAAH

cocastic weraaa ayuuu
 
Back
Top Bottom