PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Wapi?Kuna mikoa unaenda mara unatishika, watu wanachomana visu, kila bar lazima ugomvi utokee.
Wasichana wanavuta bangi, wanapigana na punda hadi punda anakufa.
Arusha sina hamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi?Kuna mikoa unaenda mara unatishika, watu wanachomana visu, kila bar lazima ugomvi utokee.
Wasichana wanavuta bangi, wanapigana na punda hadi punda anakufa.
Arusha sina hamu
DAR ES SALAAM......li-mkoa moja la HOVYO sana.Kuna mikoa unaenda mara unatishika, watu wanachomana visu, kila bar lazima ugomvi utokee.
Wasichana wanavuta bangi, wanapigana na punda hadi punda anakufa.
Arusha sina hamu
Tanzania yote ni nzuri hakuna sehemu ambayo sitaki kurudi tena. Sema mji wa Bukoba nadhani ndo mji wa hovyo kuliko miji yote ya Tanzania. Lindi nako sijajua paliwezaje kuwa manispaa wakati ni mji unaonuka umaskini. Ndo mji niliona gesti imefunguliwa na kiongozi wa mbio za mwenge kama mradi wa maendeleo.
Dar ni namba Moja Jiji linanuka halafu joto utadhani jikoni Kwa muuza chips.Ila Bukoba nlivyofika stendi nligoma kushuka kwenye basi
Duuh! Mpanda bado sana. Sijui wahusika waliangalia nini kuipa hadhi ya Manispaa.
Masasi
Kubaya.Elezea vzr masasi kumekuaje