Ni mkoa gani uupendao kuliko yote.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wali 200
Shule ya msingi mwongozo, kichangani wilaya ya kinondoni wanauziwa wali kwa bei hiyo mkuu.

@platzoom habari ndo maana nimeongelea mambo ya quality pia.
 
Shule ya msingi mwongozo, kichangani wilaya ya kinondoni wanauziwa wali kwa bei hiyo mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwaio ukienda na buku unabeba maskini wenzio km wa 4 ivi
 
Ruvuma is my dream region...ooh God hear me to make my destination there

Ruvuma naukiss mwa mwa mwaaa..!
 
Kwanini chato? kuna kitu unakitafuta
 
Unamaana mzee Baba ukimpa kachori anaweza kui font peji?
 
Yechu Yechu Dingilai. Mambo ni Dandara. Mamikoa yenu yamedorora hadi kudoda, huku kwetu ni kuwanda kwa kwenda mapeleeee. Yech yechu Ara Chuga moja babulai. Ngarenaro ndio manchi yetu acha sasa Olodonyo Sambu Namanga ndio mamikoa yetu.
Karibu Harifu
 
Shule ya msingi mwongozo, kichangani wilaya ya kinondoni wanauziwa wali kwa bei hiyo mkuu.

@platzoom habari ndo maana nimeongelea mambo ya quality pia.
Mchele VP unapenya vidoleni
 
AM WITH U,,,NAIPENDA DOM BALAAA, NIMEISHI PALE MIAKA MITANO, BT THEN NOW NIPO MBEYA ILA NATAMANI SANA NIRUDI DOM
 
Yechu Yechu Dingilai. Mambo ni Dandara. Mamikoa yenu yamedorora hadi kudoda, huku kwetu ni kuwanda kwa kwenda mapeleeee. Yech yechu Ara Chuga moja babulai. Ngarenaro ndio manchi yetu acha sasa Olodonyo Sambu Namanga ndio mamikoa yetu.
Karibu Harifu
Arusha nna historia napo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…