Ni mkoa gani uupendao kuliko yote.

We Dom sema umekuja kipindi iki ujaja kiangazi wewe nahisi ungebadilj msemo wako
 
Dom kuna hali hewa gani zaidi ya kupauka kama t*k*,nilipita kitambo sana hapo Dom yaani watu wamepauka hata wakipaka mafuta ya kupikia hawang'ai
 
Dom japo sijawai kufika natamani sana niamie uko
 
● Hakuna mahali kama ARUSHA.

...×.....×.....×....×......×.....×.....×.....
 
Kwahiyo ukitoa buku ni sahani tano.

Ukiwa na wageni unawapeleka hotelini kuwalisha wote kila mmoja na sahani yake kwa buku.
Shule ya msingi mwongozo, kichangani wilaya ya kinondoni wanauziwa wali kwa bei hiyo mkuu.
 
Ingawa nimezaliwa DSM nimekulia DSM ila asili ni Arusha nakupenda sana japo nilienda mara chache sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…