Ni mkosi au ndo biashara ya bodaboda ilivyo?

Ni mkosi au ndo biashara ya bodaboda ilivyo?

Siamini ktk kuwekeza kwenye vyombo vya moto,ni bora nijenge chumba cha kupangisha
 
Mi ilinishindaga nikayauza maboksa halafu niliyemuuzia nayeye akanizulumu hela, nikaona aah sio kesi!!
akakudhulumu ukamwachia Mungu? dah! mkuu nipe mimi jukumu la kudai Kwa njaa nlio nayo Atalipa tu ilimradi anadaiwa haki ya nani tena?
 
Siamini ktk kuwekeza kwenye vyombo vya moto,ni bora nijenge chumba cha kupangisha
yah na ndo maana biashara inakuwa poa. wote wakiweza inakuwa ngumu lazima wengine wajenge wengine vyombo vya moto ila kwa upande wangu nyumba zakupanga ni ka nazika hela
 
akakudhulumu ukamwachia Mungu? dah! mkuu nipe mimi jukumu la kudai Kwa njaa nlio nayo Atalipa tu ilimradi anadaiwa haki ya nani tena?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa hyo unataka upewe Kazi Kama ya Majembe Auction Mart?
 
Ni mwaka mmoja nimekuwa kwenye hii biashara ya bodaboda, wiki 2 zilizopita baada ya kubadilisha tairi LA mbele la toyo, leo bike yangu ya toyo imepiga shoti kwenye wiring..sasa cjui ni dereva wa bodaboda anakula njama na fundi ili nitoe hela, hlf toyo yenyewe mwezi wa pili mwaka huu ndo imetimiza miaka 3 tu tangu inunuliwe, wiring elf 20 hlf hesabu elf 30 kwa wiki kuna faida hapo kweli
Narekebisha ili tatizo, ikitokea tatizo lingine nauza bike😡sijui wameniloga, coz juzi nlianza kuuza skygo kwa mkataba, nkiuza hizi bike mbili ntabakiwaa na bike 1, sijui ndo kufilisika kunapoanzia..
Poole biashara ya bodaboda bora uendeshe mwenyewe bodaboda ni vichaa haswa
 
Hapa ndo naanza kuamini ule usemi wa kusema biashara hii hailipi.
Kuna watu wanawaza kumiliki bodaboda coz wamesikia zinalipa, wengine ndo wanazikimbia.
Hata kweny nyumba ya kupangisha kuna mda utashangaa unapigwa sound na wapangaji au chumba kikae mwez au hata zaid bila mpangaji....
Safar ya mafanikio kwa kwel haina formula kabsaa lkn hatupaswi kukata tamaa kila kukicha lazma tupambane.
 
Mkuu nimemwambia kama mtaji wake ni mdogo ni bora aifanye mwenyewe kuna dhumuni gani la kuajiri mtu akuuzie duka lako na wewe upo? Hio biashara hatoweza kuifanya kwa ufanisi mkubwa kama utakaoufanya wewe nk.kuajiri watu hakuepukiki biashara ikishakuwa kubwa na wewe mfanya biashara una experience ya kutosha wa mzunguko na output ya biashara nk huyo bodaboda anamuibia kama anabisha aingie mwenyewe barabarani aone
Miguel Felix Angle Gallardo
 
Back
Top Bottom