Jagiya
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,206
- 1,828
sawa..acha nijaribukaza roho uicheck mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa..acha nijaribukaza roho uicheck mkuu
hahaa hii movie niliiangalia kwenye bus la kilimanjaro, nilikua nimekaa na mdada kwenye siti, basi nikawa namuangalia machoni jinsi macho yalivyomjaa machozi, bahati nzuri mm nilishukua moshi, sikuingalia hadi mwisho, nilivyorudi dar nikawahadithia wana, nikawaambia waitafute alafu wanihadithie, nilishindwa kuimalizia kwa kweliKuna moja inaitwa Miracle in Cell no.7....hii ni moja ya movie inayohuzunisha sana.
Ha ha kuna Hostel part 1 mpaka 3 nilijuta kuangalia japo niliinjoyMkuu SAW na yenyewe naielewa ina mambo mengine unayaangalia kwa jicho moja ukiwa umeliminya,ila hii A serbian film inakuharibu mpaka kifikra na kihisia
I watched it kama 3 weeks back. Iliniliza. Movie nzuri sana.Kuna moja inaitwa Miracle in Cell no.7....hii ni moja ya movie inayohuzunisha sana.
Mie mwenyewe iliniliza.hahaa hii movie niliiangalia kwenye bus la kilimanjaro, nilikua nimekaa na mdada kwenye siti, basi nikawa namuangalia machoni jinsi macho yalivyomjaa machozi, bahati nzuri mm nilishukua moshi, sikuingalia hadi mwisho, nilivyorudi dar nikawahadithia wana, nikawaambia waitafute alafu wanihadithie, nilishindwa kuimalizia kwa kweli
SAW. = HaifaiWakuu kwema?
Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua mauaji,usaliti,uchawi n.k.
Mimi binafsi ni mpenzi wa kuangalia filamu ile sana na nimetazama nyingi sana lakini kuna movie moja mpaka leo hua najuta kwanini niliiangalia.Filamu yenyewe inaitwa A SERBIAN FILM.
Wakuu siwashauri muingalie hiyo movie kama roho yako ni nyepesi na kama kuna mdau alishawahi kuicheck hebu njoo utoe mawazo yako uliionaje.
Na pia hebu taja movie yako ambayo unajuta mpaka leo kuitazama
Nawasilisha
Movie ya Kikorea Ilikuwa inaitwa Fashion King Iliisha kiboya sanaWakuu kwema?
Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua mauaji,usaliti,uchawi n.k.
Mimi binafsi ni mpenzi wa kuangalia filamu ile sana na nimetazama nyingi sana lakini kuna movie moja mpaka leo hua najuta kwanini niliiangalia.Filamu yenyewe inaitwa A SERBIAN FILM.
Wakuu siwashauri muingalie hiyo movie kama roho yako ni nyepesi na kama kuna mdau alishawahi kuicheck hebu njoo utoe mawazo yako uliionaje.
Na pia hebu taja movie yako ambayo unajuta mpaka leo kuitazama
Nawasilisha
Acha bas[emoji28]Mkuu SAW na yenyewe naielewa ina mambo mengine unayaangalia kwa jicho moja ukiwa umeliminya,ila hii A serbian film inakuharibu mpaka kifikra na kihisia
Umeona Saw Mpya Inayoitwa"spiral From The book of saw"Mpaka sasa sijamuona wa kuvunja rekodi ya movie ya SAW. Ile movie Director na writers walitulia aisee!!!
Umeona Saw Mpya Inayoitwa"spiral From The book of saw"
sikushauri uitafute.. utanishukuru baadae🙏Kwamba hiyo Serbian film ni zaidi ya saw. Hapo lazima niitafute
sio ile muvi wa yule prnst aliestaafu kisha akapewa tenda ingine ya dau kubwa!Wakuu kwema?
Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua mauaji,usaliti,uchawi n.k.
Mimi binafsi ni mpenzi wa kuangalia filamu ile sana na nimetazama nyingi sana lakini kuna movie moja mpaka leo hua najuta kwanini niliiangalia.Filamu yenyewe inaitwa A SERBIAN FILM.
Wakuu siwashauri muingalie hiyo movie kama roho yako ni nyepesi na kama kuna mdau alishawahi kuicheck hebu njoo utoe mawazo yako uliionaje.
Na pia hebu taja movie yako ambayo unajuta mpaka leo kuitazama
Nawasilisha
Mkuu ndo hiyo hiyo,we unaionaje hiyo movie mi nahisi sio movie ya kupendekeza mtu mwingine aiangalie,inafikirisha sana ile movie.sio ile muvi wa yule prnst aliestaafu kisha akapewa tenda ingine ya dau kubwa!
akawa anapewa madawa y kumtoa akili.
akila mzigo anachinja na manzi??!!
au nimefananisha?
kuna sehemu mwishoni haikuwa na scene nzuri au ni ipi unasemea??