Ni movie gani ambayo ulishawahi kuiangalia halafu baadaye ukajuta kwanini umeiangalia?

Ni movie gani ambayo ulishawahi kuiangalia halafu baadaye ukajuta kwanini umeiangalia?

Kuna moja inaitwa Miracle in Cell no.7....hii ni moja ya movie inayohuzunisha sana.
hahaa hii movie niliiangalia kwenye bus la kilimanjaro, nilikua nimekaa na mdada kwenye siti, basi nikawa namuangalia machoni jinsi macho yalivyomjaa machozi, bahati nzuri mm nilishukua moshi, sikuingalia hadi mwisho, nilivyorudi dar nikawahadithia wana, nikawaambia waitafute alafu wanihadithie, nilishindwa kuimalizia kwa kweli
 
Mpaka sasa sijamuona wa kuvunja rekodi ya movie ya SAW. Ile movie Director na writers walitulia aisee!!!
 
hahaa hii movie niliiangalia kwenye bus la kilimanjaro, nilikua nimekaa na mdada kwenye siti, basi nikawa namuangalia machoni jinsi macho yalivyomjaa machozi, bahati nzuri mm nilishukua moshi, sikuingalia hadi mwisho, nilivyorudi dar nikawahadithia wana, nikawaambia waitafute alafu wanihadithie, nilishindwa kuimalizia kwa kweli
Mie mwenyewe iliniliza.

Ila imeishia vizuri sana.
 
Wakuu kwema?

Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua mauaji,usaliti,uchawi n.k.

Mimi binafsi ni mpenzi wa kuangalia filamu ile sana na nimetazama nyingi sana lakini kuna movie moja mpaka leo hua najuta kwanini niliiangalia.Filamu yenyewe inaitwa A SERBIAN FILM.

Wakuu siwashauri muingalie hiyo movie kama roho yako ni nyepesi na kama kuna mdau alishawahi kuicheck hebu njoo utoe mawazo yako uliionaje.

Na pia hebu taja movie yako ambayo unajuta mpaka leo kuitazama

Nawasilisha
SAW. = Haifai
HELL RISER= Haifai
 
Wakuu kwema?

Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua mauaji,usaliti,uchawi n.k.

Mimi binafsi ni mpenzi wa kuangalia filamu ile sana na nimetazama nyingi sana lakini kuna movie moja mpaka leo hua najuta kwanini niliiangalia.Filamu yenyewe inaitwa A SERBIAN FILM.

Wakuu siwashauri muingalie hiyo movie kama roho yako ni nyepesi na kama kuna mdau alishawahi kuicheck hebu njoo utoe mawazo yako uliionaje.

Na pia hebu taja movie yako ambayo unajuta mpaka leo kuitazama

Nawasilisha
Movie ya Kikorea Ilikuwa inaitwa Fashion King Iliisha kiboya sana
 
Mimi movie ya nsyuka jamani movie inatisha balaa saw haioni ndani toka mwaka 2000 niiangalia mpka leo naogopa kulala peke angu ,Au kulala uku nimezima taa aisee director mussa banzi aliua sana
 
Wakuu kwema?

Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua mauaji,usaliti,uchawi n.k.

Mimi binafsi ni mpenzi wa kuangalia filamu ile sana na nimetazama nyingi sana lakini kuna movie moja mpaka leo hua najuta kwanini niliiangalia.Filamu yenyewe inaitwa A SERBIAN FILM.

Wakuu siwashauri muingalie hiyo movie kama roho yako ni nyepesi na kama kuna mdau alishawahi kuicheck hebu njoo utoe mawazo yako uliionaje.

Na pia hebu taja movie yako ambayo unajuta mpaka leo kuitazama

Nawasilisha
sio ile muvi wa yule prnst aliestaafu kisha akapewa tenda ingine ya dau kubwa!
akawa anapewa madawa y kumtoa akili.
akila mzigo anachinja na manzi??!!
au nimefananisha?
kuna sehemu mwishoni haikuwa na scene nzuri au ni ipi unasemea??
 
sio ile muvi wa yule prnst aliestaafu kisha akapewa tenda ingine ya dau kubwa!
akawa anapewa madawa y kumtoa akili.
akila mzigo anachinja na manzi??!!
au nimefananisha?
kuna sehemu mwishoni haikuwa na scene nzuri au ni ipi unasemea??
Mkuu ndo hiyo hiyo,we unaionaje hiyo movie mi nahisi sio movie ya kupendekeza mtu mwingine aiangalie,inafikirisha sana ile movie.
 
Naomba anaeweza akaiangalie alete mrejesho humu,au waliokwisha iangalia watie neno
 
Back
Top Bottom