adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,638
ile muvi haiko vile kiuhalisia kama unavyoitazama!Mkuu ndo hiyo hiyo,we unaionaje hiyo movie mi nahisi sio movie ya kupendekeza mtu mwingine aiangalie,inafikirisha sana ile movie.
ile muvi wametumia kama METAPHOR flani..
ina ujumbe tofauti kabisa na unavyoitazama..!
kaa utulie iangalie tena!
ile muvi ni ya kisiasa kuliko kijamii