nimetoka kuiangalia jana usiku, aisee nilijuta kwanini niliiangalia usiku maana nilikua nikifumba macho kulala naona kama nipo kwenye tukio na mimi daaah๐๐๐#Life hii mzee nilijuta kuitazama kah!
ndo yenyeweeeLife ndo ile wanaenda kwenye outer space afu vitimbwi vinaanza?
TriangleWakuu kwema?
Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua mauaji,usaliti,uchawi n.k.
Mimi binafsi ni mpenzi wa kuangalia filamu ile sana na nimetazama nyingi sana lakini kuna movie moja mpaka leo hua najuta kwanini niliiangalia.Filamu yenyewe inaitwa A SERBIAN FILM.
Wakuu siwashauri muingalie hiyo movie kama roho yako ni nyepesi na kama kuna mdau alishawahi kuicheck hebu njoo utoe mawazo yako uliionaje.
Na pia hebu taja movie yako ambayo unajuta mpaka leo kuitazama
Nawasilisha
Ile ya mambo ya dejavuTriangle
Saaanaa... Movie nikijua inaishia jamaa anatoka kmbe ananyonywa... DahKuna moja inaitwa Miracle in Cell no.7....hii ni moja ya movie inayohuzunisha sana.
Sababu ya kale kadudu kama pweza......??#Life hii mzee nilijuta kuitazama kah!
Yeah.... Ndio ile..... Wanacollect sample kutoka sayari gani sijui halafu wanapata kiumbe kikiwa katika cellular level kinakuwa taratibu na kuwawashia balaa.....Life ndo ile wanaenda kwenye outer space afu vitimbwi vinaanza?
Ila director wa ile movie yupo vema sanaLife ndo ile wanaenda kwenye outer space afu vitimbwi vinaanza?
Action sifuri yule Tuseme ukweli tuRogue hostage ya tyres gibson ni worst movie ever