isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Movie flani ya Angelina Jolie kuna vipande virikuwa shooted Kenya na Kilimanjaro! Nimeisahau jina.Pia Kuna Movie Nyingine Ya Kitambo Ya Hollywood Ilikuwa Shooted TZ Tanga. Inahusu Masokwe! Hiyo Movie Jina Limenitoka!
Nlfunga afufukeEmperor of the sea Captain Jang Bogo alikufa nililiaaa..[emoji85][emoji85][emoji85]
Alikufa Kizembe!Emperor of the sea Captain Jang Bogo alikufa nililiaaa..[emoji85][emoji85][emoji85]
Schweziniggerterminator two -Anord shwaziniga(spelling za hili jina kuziandika zitanichelewesha)
Hahaha baba swalehe acha kutuibiaNlfunga afufuke
Sana yani mimi sikuamini kama kweli ndio kafaAlikufa Kizembe!
Hahaha! Hiyo Kali!Kuna movie moja ya kijapani inaitwa bushido man, staring alipigwa kikali akaanguka chini alafu maandishi ya casting yakaanza kupanda juu. Nikaanza kujiuliza inamaana adui ndio kabaki hai halafu staring kafa, nikashangaa staring kashika maandishi ya casting anayarudisha chini akasimama tena kupapana na adui mpaka adui alipokufa ndio movie ikaisha
Next time ukija home.. Beba some.. Nimeitazama The Legend tu hapo.....Some of my favs..
-Training Day
-The Legend
-Seven Pounds.
-The curious case of Benjamin Button..
Next time ukija home.. Beba some.. Nimeitazama The Legend tu hapo..
Oh babe!U got it!