Ni Movies gani ziliwahi gusa hisia, mtazamo na labda kubadirisha maisha yako?

Ni Movies gani ziliwahi gusa hisia, mtazamo na labda kubadirisha maisha yako?

pursuit of happyness

a walk to remember

curious case of benjamin button

gifted hands

49 days (korea series)
 
Kuna movies ukiangalia inaacha mark katika maisha yako.

Inakuwa sio tena entertainment, inakuwa fundisho, motivation, inspiration na luckily inabadilisha mtazamo wako juu ya maisha na jinsi gani ya kuhandle life as a whole.

Mimi ziliowahi kuni impact pakubwa ni:

1: Shawshank Redemption:

Amid na kufungwa jera kwa kifungo cha maisha kwa kosa ambalo hakufanya. Jamaa hakunung'unika wala kujikatia tamaa ila alibaki kuwa honest na class kama jinsi alivyokuwa awali huku akiplan kutoroka kwa miaka ishirini kwa

'Brooks was here'!
Nami nimetokea kuielewa sana hii movie, napenda pia namna ya masimulizi yake kutoka kwa mwanba Morgan.
 
Hii Movie/series ilinigusa sana.

1689716984798.png
 
Kuna movies ukiangalia inaacha mark katika maisha yako.

Inakuwa sio tena entertainment, inakuwa fundisho, motivation, inspiration na luckily inabadilisha mtazamo wako juu ya maisha na jinsi gani ya kuhandle life as a whole.

Mimi ziliowahi kuni impact pakubwa ni:

1: Shawshank Redemption:

Amid na kufungwa jera kwa kifungo cha maisha kwa kosa ambalo hakufanya. Jamaa hakunung'unika wala kujikatia tamaa ila alibaki kuwa honest na class kama jinsi alivyokuwa awali huku akiplan kutoroka kwa miaka ishirini kwa uvumilvu na utulivu.

2: Forrest Gump:

Hii ilinifundisha haijalishi ni jinsi gani ulivyo na jinsi unavyochokuliwa na jamii ila ndani yako kuna kitu special cha kubadirisha maisha yako na watu wanaokuzunguka.

3: The Green Mile:

Kwa watu wanaonekana negative sana mbele ya jamii kwa maana waendani na mitazamo yao, unakuta ndani yao ni watu special sana na wakukuwezesha kupiga hatua flani.

Endless love
 
A walk to remember bhana hii movie itaendelea kuwa movie yangu pendwa kwan ni movie ya mwisho kuiangalia mm na mama b4 hajachukuliwa dunian..huwa nikiiangalua lzm nitoe machoz
Very touching aiseeh
RIP kwa mama mprndwa.
 
Back
Top Bottom