Ni mpambano mkali kati ya Jokate na Makonda

Yeaah na izi nyuzi zinazoshamili uku mitandaoni. Jokate akizuga kuendeleza hiz kelele, atajikuta kaukosa na UDC .


Huyu Bashite anajua mengi ya Baba yake..na Baba yake anajua mengi ya Bashite na hata kumtumia Bashite... Hawa wawili ni wanaongea nakula chungu kimoja.

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…