Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Yeaah na izi nyuzi zinazoshamili uku mitandaoni. Jokate akizuga kuendeleza hiz kelele, atajikuta kaukosa na UDC .Wanaongea kwa chuki tu kujifurahisha,lakini Joketi kwa Makonda ni mtoto mdogo sana,Labda ingekuwa mama Kairuki kidogo.Makonda anakubalika sana na mtawala,nadhani ni number 1 mana kama ilishindikana kwa Ruge aliyekuwa karibu na watawala wote sembuse Hutu bint Xgirlfriend wa Kiba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nailo ndo analotafuta .Jokate mtoto mdogo sana kwa Makonda, asijaribu kumtunishia msuli kwa namna yoyote ile...
Maana hata uo ukuu wa wilaya anaweza akaukosa pia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungumzia udogo wa nini?!Jokate mtoto mdogo sana kwa Makonda, asijaribu kumtunishia msuli kwa namna yoyote ile...
Maana hata uo ukuu wa wilaya anaweza akaukosa pia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Are you sure?Eti Nini? Mbona Ni Mwepesi Tu Yule Kwa Makonda? Anacheza Na Makonda? Makonda Ni Gwiji Wa Siasa Za Fitna Yule Binti Hamuwezi. Labda Makonda Achukulie Poa
Yes, i'm sure !Are you sure?