Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 53
- 539
Historia ni mwalimu mzuri sana. History is good predictor of the future.
Kuna mgombea historia yake ni ya kushindwa tuu. Ushindi wake mara nyingi ni wa kufosi na kutumia nguvu nyingi. Huyu mgombea pia anaonekana kuogopa sana umauti kwani kila anapoenda ana ulinzi mkali ambao haujawahi kushuhudiwa katika historia ya viongozi wa nchi hii. Hiyo inaonesha hata ktk ulimwengu wa kiroho hana ushindi.
Kuna mgombea historia yake ni ya ushindi tuu. Hajawahi kutumia maguvu kwenye ushindi. Pia ana historia kubwa kuliko zote ya kushinda mauti ktk mazingira ambayo ni muujiza. Ktk ulimwengu wa kiroho huyu tayari ni mshindi.
Ukiona mpaka manabii wameoneshwa na Mungu ktk ndoto zao kwamba huyu mtu ni mshindi basi hakuna wa kuzuia hilo.
"Roho ya kukataliwa haishughulikiwi kwa kuikimbia. Ukiikimbia itakufuata tu kwenye maisha yako/huduma yako. Paulo/Sauli aliwakimbia Wayahudi na akaenda kujiunga na wanafunzi wa Yesu, nao wakamkimbia.(Matendo 9:20 – 26); 23 Hata siku nyingi zilipopita, Wayahudi wakafanya shauri ili wamwue; 26 Na Sauli alipofika Yerusalemu, alijaribu kujiunga na wanafunzi, nao walikuwa wakimwogopa wote, wasisadiki ya kuwa yeye ni mwanafunzi.
Kuna mgombea historia yake ni ya kushindwa tuu. Ushindi wake mara nyingi ni wa kufosi na kutumia nguvu nyingi. Huyu mgombea pia anaonekana kuogopa sana umauti kwani kila anapoenda ana ulinzi mkali ambao haujawahi kushuhudiwa katika historia ya viongozi wa nchi hii. Hiyo inaonesha hata ktk ulimwengu wa kiroho hana ushindi.
Kuna mgombea historia yake ni ya ushindi tuu. Hajawahi kutumia maguvu kwenye ushindi. Pia ana historia kubwa kuliko zote ya kushinda mauti ktk mazingira ambayo ni muujiza. Ktk ulimwengu wa kiroho huyu tayari ni mshindi.
Ukiona mpaka manabii wameoneshwa na Mungu ktk ndoto zao kwamba huyu mtu ni mshindi basi hakuna wa kuzuia hilo.
"Roho ya kukataliwa haishughulikiwi kwa kuikimbia. Ukiikimbia itakufuata tu kwenye maisha yako/huduma yako. Paulo/Sauli aliwakimbia Wayahudi na akaenda kujiunga na wanafunzi wa Yesu, nao wakamkimbia.(Matendo 9:20 – 26); 23 Hata siku nyingi zilipopita, Wayahudi wakafanya shauri ili wamwue; 26 Na Sauli alipofika Yerusalemu, alijaribu kujiunga na wanafunzi, nao walikuwa wakimwogopa wote, wasisadiki ya kuwa yeye ni mwanafunzi.