Ni mpasuko mkubwa ndani ya CCM, kifo cha Hayati Magufuli chatajwa kuwa sababu

Ni mpasuko mkubwa ndani ya CCM, kifo cha Hayati Magufuli chatajwa kuwa sababu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.

Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha Hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.

Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia CCM mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
 
Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.

Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.

Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia Ccm mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mapsuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
Bado mapema sana itafahamika tu.
Mitano tena kwa Samia.
 
Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.

Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.

Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia Ccm mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mapsuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
.
giphy.gif
 
Hayo ni kweli kabisa, mshikaji wangu mama yake anacheo sna pale ccm huwa anasema CCM kuna hali mbaya kuna makundi 2 afu sasa yote yana nguvu tatizo ni kwamba moja ndo linanguvu ya m/kiti. Leo tumeona mama alivowaka kapaniki sana. Na kifo cha JPM soon tutajua tuache waendelee farakana kama popcorn
 
Ujue nini kwenye kifo cha JPM zaidi ya corona? Acheni ushamba na kudharau corona! Corona haipendi wabishi na wajinga
Hayo ni kweli kabisa, mshikaji wangu mama yake anacheo sna pale ccm huwa anasema CCM kuna hali mbaya kuna makundi 2 afu sasa yote yana nguvu tatizo ni kwamba moja ndo linanguvu ya m/kiti. Leo tumeona mama alivowaka kapaniki sana. Na kifo cha JPM soon tutajua tuache waendelee farakana kama popcorn
 
Ujue nini kwenye kifo cha JPM zaidi ya corona? Acheni ushamba na kudharau corona! Corona haipendi wabishi na wajinga

Usipaniki relax. Kama corona ipo mimi ningekua wa1 kuupata na kufa. Sijawai pata corona na sijipata.
 
Mtasingizia sana upigaji nyie sukuma gang kumbe mlitaka kuigeuza Tanzania Burundi wapuuzi nyie. Rudini kwenu Burundi naona mmeumia sana mtu wenu Ndugai kupewa makavu? Na bado Mtaondolewa mmoja mmoja
Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.

Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.

Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia Ccm mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
 
Kwa nguvu ya Rais wa Tanzania hilo kundi lingine likae kwa kutulia tu.
 
Mtasingizia sana upigaji nyie sukuma gang kumbe mlitaka kuigeuza Tanzania Burundi wapuuzi nyie. Rudini kwenu Burundi naona mmeumia sana mtu wenu Ndugai kupewa makavu? Na bado Mtaondolewa mmoja mmoja

Sukuma gang wana misimamo..hawajawahi kuyumba..udhaifu kwao ni mwiko…wakisema A ni A, B ni B…utajua hujui..

#kataawahuni
 
Back
Top Bottom