JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Mnaruhusu apate uraisi halafu mnampa na uenyekiti wa chama ndo vita vianze? Kazi mnaifanya kuwa ngumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huku upo mkuuHayo ni kweli kabisa, mshikaji wangu mama yake anacheo sna pale ccm huwa anasema CCM kuna hali mbaya kuna makundi 2 afu sasa yote yana nguvu tatizo ni kwamba moja ndo linanguvu ya m/kiti. Leo tumeona mama alivowaka kapaniki sana. Na kifo cha JPM soon tutajua tuache waendelee farakana kama popcorn
Sukuma gang wana misimamo..hawajawahi kuyumba..udhaifu kwao ni mwiko…wakisema A ni A, B ni B…utajua hujui..
#kataawahuni
Subiria kuumbuka wewe ukweli daima hujitenga na uongo na udhalimu...Mlitembelea kiki ya Covid ila ukweli utafahamika soonUjue nini kwenye kifo cha JPM zaidi ya corona? Acheni ushamba na kudharau corona! Corona haipendi wabishi na wajinga
Kafa kwa korona,period!I think wewe ndio mjinga..
Corona haina hizo sifa za kupenda kama wewe na emotion zako.
Kama aliwateua kwa mapenzi yake atawatoa kwa mapenzi yake, ya nini kuongozana na watu unaohisi wanakuhujumu.If so kwa nini anawatoa kwenye uwaziri baadhi yao?
Until when?CCM is here to stay.
More than 20 million millenniums Sir.Until when?
Mtajiju mnaotegemea kuishi kwa nguvu na akili za rais na serikali yanu.Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.
Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.
Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia Ccm mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
Wewe unataka nini kwanza?Mimi ni ccm damu,but baada ya kifo cha Magufuli nilihamishia nguvu zangu Chadema, ila sasa Chadema wenyewe hawajui wanataka nin,huu ndio ulikua muda wa wao kujichukulia nchi kiulaini.
Sasa neno mpuuzi hapo lina faida gani? Do not panic, it is well with TanzaniaKaa ukijua tu Samia ni Mkuu wa nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu
Hapa sijakuwekea mwenyekiti wa CCM.
Endelea kupambana na Samia ukidhani utambana na Samia peke yake mpuuzi wewe!
Simtaki SamiaWewe unataka nini kwanza?
You are right100 %Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.
Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.
Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia Ccm mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
Unamtaka nani?Simtaki Samia
Wacha wachapane...Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.
Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.
Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia CCM mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
Hivi kuna mkurya mqenye akili timamu kweli ?Mimi ni ccm damu,but baada ya kifo cha Magufuli nilihamishia nguvu zangu Chadema, ila sasa Chadema wenyewe hawajui wanataka nin,huu ndio ulikua muda wa wao kujichukulia nchi kiulaini.