Ni mpasuko mkubwa ndani ya CCM, kifo cha Hayati Magufuli chatajwa kuwa sababu

Ni mpasuko mkubwa ndani ya CCM, kifo cha Hayati Magufuli chatajwa kuwa sababu

Mnaruhusu apate uraisi halafu mnampa na uenyekiti wa chama ndo vita vianze? Kazi mnaifanya kuwa ngumu sana.
 
Hayo ni kweli kabisa, mshikaji wangu mama yake anacheo sna pale ccm huwa anasema CCM kuna hali mbaya kuna makundi 2 afu sasa yote yana nguvu tatizo ni kwamba moja ndo linanguvu ya m/kiti. Leo tumeona mama alivowaka kapaniki sana. Na kifo cha JPM soon tutajua tuache waendelee farakana kama popcorn
Na huku upo mkuu
 
Kaa ukijua tu Samia ni Mkuu wa nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu

Hapa sijakuwekea mwenyekiti wa CCM.

Endelea kupambana na Samia ukidhani utambana na Samia peke yake mpuuzi wewe!
Sukuma gang wana misimamo..hawajawahi kuyumba..udhaifu kwao ni mwiko…wakisema A ni A, B ni B…utajua hujui..

#kataawahuni
 
If so kwa nini anawatoa kwenye uwaziri baadhi yao?
Kama aliwateua kwa mapenzi yake atawatoa kwa mapenzi yake, ya nini kuongozana na watu unaohisi wanakuhujumu.

Madamu havunji katiba na sheria za nchi.
 
Itasikitisha sana endapo hizo taarifa zitakua na ukweli...
 
Mimi ni ccm damu,but baada ya kifo cha Magufuli nilihamishia nguvu zangu Chadema, ila sasa Chadema wenyewe hawajui wanataka nin,huu ndio ulikua muda wa wao kujichukulia nchi kiulaini.
 
Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.

Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.

Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia Ccm mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
Mtajiju mnaotegemea kuishi kwa nguvu na akili za rais na serikali yanu.
 
Mimi ni ccm damu,but baada ya kifo cha Magufuli nilihamishia nguvu zangu Chadema, ila sasa Chadema wenyewe hawajui wanataka nin,huu ndio ulikua muda wa wao kujichukulia nchi kiulaini.
Wewe unataka nini kwanza?
 
Kaa ukijua tu Samia ni Mkuu wa nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu

Hapa sijakuwekea mwenyekiti wa CCM.

Endelea kupambana na Samia ukidhani utambana na Samia peke yake mpuuzi wewe!
Sasa neno mpuuzi hapo lina faida gani? Do not panic, it is well with Tanzania
 
Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.

Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.

Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia Ccm mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
You are right100 %
 
Hii ni sababu kuwa kuna dalili kuwa hata kifo cha hayati JPM kina utata mkubwa.

Mpaka sasa kuna kundi la wanaCcm linalojiona kuwa lipo kwa ajili ya kupinga ufisadi na ukwapuaji wa mali ya umma. Huku kuna kundi ambalo lilifurahia kifo cha hayati JPM likijinasibu kuwa lina mpango wa kupiga madili na kufanikisha mambo yao.

Mvutano huu ndio unaogombea nafasi ya urais kupitia CCM mwaka 2025 huku kundi la hayati JPM likisema kuwa kiongozi wa sasa hafai na anaunga mkono baadhi ya mawaziri mafisadi. Kwa hakika mpaka sasa ni mpasuko mkubwa zaidi ya pasuko la nazi iliyovunjwa.
Wacha wachapane...
 
Mimi ni ccm damu,but baada ya kifo cha Magufuli nilihamishia nguvu zangu Chadema, ila sasa Chadema wenyewe hawajui wanataka nin,huu ndio ulikua muda wa wao kujichukulia nchi kiulaini.
Hivi kuna mkurya mqenye akili timamu kweli ?
 
Back
Top Bottom