Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Hahaha nimecheka paka bas duh
 
Dah mm kuna huyu simuelewi mpaka leo... Anadai ananipenda ila anamegwa nje kama kawa.Yakimshinda huko anarudi kwangu ananipa mzigo napiga. Maisha yanaendelea.Atasepa Halafu anarudi.Its some sort of open relationship mapenz gani haya demu akirudi anaanza kukwambia walomlala.Kwakuwa nshamzoea huwa nachapa tu.Simwelewi mpaka leo.Ana mapepo ya dick au nn?
 

Jirani

tatoo ya '666' kiruuuu ntombakasia ode ode umefanya laputopu ikazima kwa mstuko.

khaaa kumbe kuna watu vipofu ila huyu smart naona ana chongo macho yote mawili aisehhhh

haki ya mama umenipa mstuko kama ningekuwa bomu ningeshaangamiza dunia.

mmmmhhhhhh ata siamini ngoja aje hapa atoke povu
 
Huyo mrahisi sana...unatakiwa unategea wakati muafaka wa kipindi cha SHILAWADU ndio unamwita...kakija hata hutajisumbua sana katafurahii...hlf unamgonga hata 10 mpk kipindi kiishe
 
Mie wa kwangu nilikuwa simuelewi nikienda kusleep kwake ghafla nikishituka usiku hayupo imeenda na kurudi nikajua mwanga...
Siku moja nikaekuwa kwake kwa uangalifu hakuwepo nakutana na bastola mwili ulikufa ganzi nikahisi ni jambazi na kujipa moyo...kwa vile nilikuwa nampenda wakati huo...

nitaendelea
 
Cc: mahondaw
 
Da mi nilipata mpenzi, akajitambulisha kwa jina A. Tukazoeana hivyo. Siku naenda kwake nakuta kitambulisho chenye jina B. Da.. Nikapata mawazo kama nitatoka salama. Lakini Mungu ni mwema, alinitreat vizuri na nikaondoka salama. Sikumtafuta muda mrefu. Siku najaribu kumtafuta nimsalimie nikagundua alifariki kwa ajali mwaka umepita. He was a gentleman to me.
 

Smart911 wangu anakuhusu nini wewe?!?

Mwanaume mwenzio huyo Wee mlegezee tu!
Kila sehemu smart smart smart smart
Yes he's smart in deed!

Cc Smart911
 

Smart911 sweetlove yupo vizureeeeeeee
Thanks God for this Wonderful lucky man heheheee nampendajeeee
 
Smart911 wangu anakuhusu nini wewe?!?

Mwanaume mwenzio huyo Wee mlegezee tu!
Kila sehemu smart smart smart smart
Yes he's smart in deed!

Cc Smart911
mahondaw wangu... Usiumize kichwa to explain anything to anyone... Stay calm super dear... Lets focus on us, leave the world behind...

Wanacheza na akili yako uwe unachukia chukia kila mara...

Usisahau kuja, kama nitakuwa sijarudi bado u know what to do mahondaw wangu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…