Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Tehteh thanks love
Jana ulinihenyesha lakini mahondaw wangu... Nakuona umenuna, kila navyokubembeleza useme whats wrong... Hutaki, nikikuuliza unataka nini husemi.. Nikikuuliza nikupe nini unasema hakuna kitu... You are fine...

Daah nimekubembeleza mpaka basi, bado umenuna.. Mwisho kabisa ndiyo unanikumbatia ati unasema Smart911 kwani hujui napokuhitaji, nakutaka wewe...

Kilichoendelea hapo... Wacha nikae kimya mahondaw wangu...
 
Aisee mahondaw hili jamaa umelilisha nywele za chini nini
 

[HASHTAG]#Ssssssssssssshhhhhhhhhbhhhhhhhhhhhh[/HASHTAG]

Hot kisses Smart911 love
Muah muah muaaaaah Mmmmmmmmmmmmmmmmmmuaaaaah

You know what to do
 
Waganda wanasema uwachage mauchokozi
 
Kuna manzi nilimpataga kakali katoto ka kitanga, nikawa nakaita ghetto napiga mambo kwa sana

Kaliniambia kanasoma form three enzi hizo niko uni, basi huwa wadogo zake wanakuja kucheza kwetu na wadogo zangu na madogo wengine.

Siku hiyo nipo skani mchana nikamuona dogo wake yupo home na nisiku ya shule nikamuuliza vipi mbona hujaenda shule leo?

Akanijibu " akina Asha wanafanya mtihani wa kumaliza la saba"

Niliishiwa pozi, na kwa kutaka kulinda heshima yangu pale mtaani kwakuwa ni maarufu katika kutibu simu za wana mtaa wangu basi nikakapiga chini.
 
 
Hahaha hapo kwenye "natomba au natombwa" hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…