Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Bwana Azarel wewe ndiye yule aliyembaka Mbilikimo Tunduma mwaka mpya,cause nakumbuku nilisikia hilo tukio nikiwa Tnd January na huyo Mbilikimo alikutambua kwa shati ulilokua umevaa.
 
H[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2]
 
Mimi nilidate na Muha ila sikuwaga najua kama muha[emoji23][emoji23].
halafu alitumwa kunikomesha na bwana ambae nilimkataa! Cha ajabu akanipenda sana.
Tatizo lilikuja nikitaka kumwacha anasema nakuroga basi naogopa[emoji23].
anakaa anasema nakutania bwana siwezi, ukimwambia nakuacha anakua serious nakuroga kuna baadhi ya vitu vyako nnavyo! Jamani nilikua naogopa ukizingatia nilikua nalalaga kwake sometimes!

yule kaka alishindwa kunifanya chochote hata nilipomwacha nadhani kwasababu alinipenda sana hata ndugu zake ,ila ningevunjwa mguu sikumoja[emoji23]
 
Mbona mnadharau sana watu wafupi.
 
Reactions: Aza
Kuna kadem Kalipita Kibalazan Mi Nikakaita Kalikuwa vzr sana kana lafudhi ya kipemba Mtandio Full

Cha ajabu Nikakatongoza kakakubali Siku iyo iyo nikaambia kaje geto Eehh si kakaja Wakat Najiandaa kuvua nguo Si mwenzangu Naona ananikodolea macho namuuliza Vp Wala hanijib

Kwanin Asianze kunguruma kama Chura yupo ktk shimo tif tif lilotokea Hapo acha tuuu
 

Jirani

embu muache bana binti mrembo mahondaw bana. nilikuwaga na nampenda mpaka sasa (samahani smart). njoo tule bana gambe hapa.

huwezi jua umeepushiwa nini! ila kiukweli mi nikimuona dah moyo unafungua milango yote mpaka ule wa handaki.

anyway wiki endi hii bana kuna bonge la shughuli hapa town embu jongea tule bia maana kuna kreti contena nzima si unajua wachagga tena siye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…