Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tanzania..Alikiba
Kwa Africa...Diamond
Kwa wanawake..Vmoney
Kwa bongo muvie..Wema Sepetu
Kwa taarab KE..Isha mashauzi
Kwa taarab ME..Mzee Yusuph
Umeeleweka mkuu kwamba Ali kiba sio msanii mbaya[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Ali Kiba hana mashabiki wengi ana mashabiki ving'ang'anizi, wanajua kupiga kelele na kulaumu, wanajua kutoa povi sana. wamefanikiwa kubishan na wasanii wanao toa nyimbo 3 kwa mwaka huku wao wakitumia wimbo m 1 wa aje. Wamefanikiwa kushindana na msanii mwenye tuzo za MTV wao wakitumia tuzo za Kilimanjaro. Sidhani kama ana washabiki wengi bongo kumzidi domo, ila ana washabiku wenye kelele.
*sijasema ni Ali ni msanii mbaya naomba hilo lieleweke
Cc supermarket
Cc hance mtanashati
Mbona kama umeenda op kakaAli Kiba hana mashabiki wengi ana mashabiki ving'ang'anizi, wanajua kupiga kelele na kulaumu, wanajua kutoa povi sana. wamefanikiwa kubishan na wasanii wanao toa nyimbo 3 kwa mwaka huku wao wakitumia wimbo m 1 wa aje. Wamefanikiwa kushindana na msanii mwenye tuzo za MTV wao wakitumia tuzo za Kilimanjaro. Sidhani kama ana washabiki wengi bongo kumzidi domo, ila ana washabiku wenye kelele.
*sijasema ni Ali ni msanii mbaya naomba hilo lieleweke
Cc supermarket
Cc hance mtanashati
Nilikuwa najiteteaUmeeleweka mkuu kwamba Ali kiba sio msanii mbaya[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Sijaenda OPMbona kama umeenda op kaka
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Nilikuwa najitetea
Hebu lete listi yako sasa tuiangalie ipo vipi kama ina upendeleo tuikague[emoji1] [emoji23]Sijaenda OP
Supermarket Alisema ali kiba ndo msanii anaongoza hapa bongo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hebu lete listi yako sasa tuiangalie ipo vipi kama ina upendeleo tuikague[emoji1] [emoji23]
Dah [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tanzania- Domo
Afrika- domo
Duniani-domo
Hahaha.Dah [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Tulishashtuka mapema uliposema kwa kujitetea "sisemi kwamba Ali kiba ni msanii mbaya"
List ipo vizuri tu mkuu[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Hahaha.
Kwa domo nimepatia bhana
Nime iedit nimeongeza wengine mkuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]List ipo vizuri tu mkuu[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Naiunga mkono na miguu
Mbona kwenye upigaji kura domo anakalishagwa na kiba angalia ata kwny tuzo za KTMA na kwenye zile top ten za eatv domo anakaaga sana yaani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tanzania- Domo
Afrika- domo
Duniani-domo
Kwa wanake bongo-shilole
Kwa wanwake Afrika-v money
Kwa waigizaji-kajala
Waigizaji wa kiume-JB
Bongo flava na bongo movie hawo wanasaiasa cna tym naoFafanua swali Mkuu, manake kuna wasanii wa aina nyingi wanamusic, bongo movie, wachoraji, wanasiasa n.k.
Ususahau kazi waliyo puga Team Wema kwenye KTMA, sasa ondoa ile effort ya Wema, Ali Kiba mshabiki wake hawawezi kumpindua domo kias kileMbona kwenye upigaji kura domo anakalishagwa na kiba angalia ata kwny tuzo za KTMA na kwenye zile top ten za eatv domo anakaaga sana yaani
Je kwenye zile top ten za eatv mbona ngoma za kiba ndo zinaongeza kwa kupigiwa kura au na panyewe team wema wanachangiaUsusahau kazi waliyo puga Team Wema kwenye KTMA, sasa ondoa ile effort ya Wema, Ali Kiba mshabiki wake hawawezi kumpindua domo kias kile