kazikwanza1981
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,577
- 729
OK basi iko hivi:Bongo flava na bongo movie hawo wanasaiasa cna tym nao
1. Diamond
2. Wema Sepatu
3. Ally Kiba
Kigezo ni ushindi wa Ally Kiba kwenye Kili Music Award ziliungana team tatu kumpa ushindi King Kiba, I mean team Wema, team Kiba na team Joketi. Ila inasemekana bado Kiba alimshinda Diamond kwa kura chache sana.