Vera ni mwanamuziki?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]and here I thought bongolalas don't know any Kenyan. So there are others who EV. know Kenyan socialites. I know corazon kwamboka by name only. Najua vera na huddah pekee. My fav is vera sidika
Hahah eti bongolala we unazingua kweli ila sio kesi, Mbona tunawajua sana akina vera, huddah, Wote hao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]and here I thought bongolalas don't know any Kenyan. So there are others who EV. know Kenyan socialites. I know corazon kwamboka by name only. Najua vera na huddah pekee. My fav is vera sidika
Sawa nenda kalaleSiwezi kuacha mambo yangu nikamuone msanii yeyote wa Kenya
Mziki wao huko chini halafu ni mbaya
Hakuna kitu hicho mkuu wabongo Tunapenda miziki ya aina yote, tatizo wakenya wengi mnaimba pumba afu miziki yenu haibambi labda michache sanaTatizo mfumo wenu wa ujamaa uliwadumaza kiasi kwamba huwa hamna uwezo wa kufurahia diversity, yaani mkielekeza pua kwa kitu kimoja, nyote mnamwagika humo. Unakuta mnao mtindo mmoja tu wa sanaa, na ili Mkenya atambulike huko lazima aimbe Kibongobongo ndio aeleweke.
Sisi huku tunafurahia kila aina ya mtindo, iwe Bongo au mitindo ya kwetu na ndio maana unaona wasanii wenu wakija wanakubalika, hatujafugwa kwenye zizi moja kama mbuzi.
Habari ndio hiyoSawa nenda kalale
Hahahah haijawahi kuwa fresh!!!Siwezi kuacha mambo yangu nikamuone msanii yeyote wa Kenya
Mziki wao huko chini halafu ni mbaya
Nimeona post ya mmoja wenu hapo juu.Vera ni mwanamuziki?
OkNimeona post ya mmoja wenu hapo juu.
HapanaVera ni mwanamuziki?
Unaijua?the real house helps of kawangware...
mimi siijui wewe je?Unaijua?
We jamaa chuki aliekufunza nani? Hukuzaliwa nayo umejikuta nayo ukubwani.Anakubalika labda Rorya!
- Unamtaja kwa kuwa ni rafiki yake JIWE
#MtumwaWaJiweWewe
We Mzee ni kinara wa kuhamisha magori naona unatafuta likes smh!Tatizo mfumo wenu wa ujamaa uliwadumaza kiasi kwamba huwa hamna uwezo wa kufurahia diversity, yaani mkielekeza pua kwa kitu kimoja, nyote mnamwagika humo. Unakuta mnao mtindo mmoja tu wa sanaa, na ili Mkenya atambulike huko lazima aimbe Kibongobongo ndio aeleweke.
Sisi huku tunafurahia kila aina ya mtindo, iwe Bongo au mitindo ya kwetu na ndio maana unaona wasanii wenu wakija wanakubalika, hatujafugwa kwenye zizi moja kama mbuzi.
Hujui na umeiandikamimi siijui wewe je?