Ni msanii gani wa Kenya anakubalika sana Tanzania?

Kina Davido wanaimba kibongobongo?

Au nati zimelegea?
 
Si wabongo pekee. Don't think you are special. Nigerians and Jamaicans too.Na wengine wengi ,westerners nk.
Nimetolea wabongo kama example tu!,sio kama Nigerians wanafanya vibaya la hasha!
Nachosema hapa ni Kwamba wakenya ni wapenzi wazuri wa mziki wa kidunia that's why many artists from outside make a lot of money in Kenya than Kenyan artsists do!
 
Nimetolea wabongo kama example tu!,sio kama Nigerians wanafanya vibaya la hasha!
Nachosema hapa ni Kwamba wakenya ni wapenzi wazuri wa mziki wa kidunia that's why many artists from outside make a lot of money in Kenya than Kenyan artsists do!
Kweli wakenya wana pesa
 
Real Talk.

#DG
 
Lakini sijamzidi anaewatupa watu kwenye chumba cha chatu au kuagiza wapigwe risasi 45 kikatili mchana kweupeee !
Haya mkuu kama usemayo yana chembe za ukweli maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu ila isije ikawa ni hisia tu maana kuhisi na kutuhumu haijawahi kuwa fresh.

#DG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…