Ni mtandao gani unaozuia maudhui ya ngono na mapenzi ya jinsia moja?

Ni mtandao gani unaozuia maudhui ya ngono na mapenzi ya jinsia moja?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kuna kundi la watu ambao wanaiomba serikali ifungie twitter nchini kwa kudai kuwa twitter imeruhusu maudhui ya mapenzi ya jinsia moja. Hata hivyo, najiuliza ni mtandao gani ambao hauruhusu mapenzi ya jinsia moja kwa hoja hiyo kuwa na mashiko. Je ni kweli meta haruhusu maudhui ya mapenzi ya jinsia moja? Hapa naona kuna zaidi ya jambo hili ambalo wengi wameliingilia na kulilalamikia kana kwamba wanaongea ukweli.

Aidha sera ya twitter (X) imekuwa tu kwamba inaruhusu maudhui ya ngono, na maudhui ya ngono yanapatikana maeneo mbalimbali sio tu X, tena kwa muangaliaji wa ngono hawezi kukaa X kutafuta ngono ataingia mitandao stahiki.

Kwa hiyo hao vijana wanaoomba X au twitter ifungiwe, wanasababu gani haswa. Kama ishu ni maudhui ya mapenzi ya jinsia moja kwa nini wasiombe mitandao yote ifungiwe tuwe kama China tu?
 
Sio mitandao, hata hao wenye madaraka na mamlaka hawawezi kuzuia mapenzi ya jinsia 1.

Waseme wazi Spana huko twiraaa zimezidi kiwango, hivyo wanataka kuzuia, hili la Homos ni geresha tyuu.

Watuachee bhana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema umekuja na mada kuhusu kupigwa spana ccm.Ushoga hupo na kila siku si mnazurura nao kwenye mastarehee.
 
Sio mitandao, hata hao wenye madaraka na mamlaka hawawezi kuzuia mapenzi ya jinsia 1.

Waseme wazi Spana huko twiraaa zimezidi kiwango, hivyo wanataka kuzuia, hili la Homos ni geresha tyuu.

Watuachee bhana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ohooo!
 
Wanajifanya wanazingatia sana maadili kumbe hakuna lolote.Wasitake kujificha katikati ya kichaka cha miba.
 
Sio mitandao, hata hao wenye madaraka na mamlaka hawawezi kuzuia mapenzi ya jinsia 1.

Waseme wazi Spana huko twiraaa zimezidi kiwango, hivyo wanataka kuzuia, hili la Homos ni geresha tyuu.

Watuachee bhana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaacha watoto wanaangalia movie za kivita zilizoandikwa 18, halafu wanajidai wanajali sana kuhusu mambo mengine tofauti kabisa
 
Sio mitandao, hata hao wenye madaraka na mamlaka hawawezi kuzuia mapenzi ya jinsia 1.

Waseme wazi Spana huko twiraaa zimezidi kiwango, hivyo wanataka kuzuia, hili la Homos ni geresha tyuu.

Watuachee bhana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unatoa kipira nicheck dm basi..
 
UVCCM ndio mtandao wa Ngono, walivyo wajinga hawajui namna mitandao inavyofanya KAZI, kama wewe ni mpenzi wa Ngono, mtandao utakuletea contents za Ngono, kama SIASA utapata za SIASA! Wanatumia algorithm. Kwahio UVCCM ndio wadau wa mtandao wa Ngono.
 
Kuna kundi la watu ambao wanaiomba serikali ifungie twitter nchini kwa kudai kuwa twitter imeruhusu maudhui ya mapenzi ya jinsia moja. Hata hivyo, najiuliza ni mtandao gani ambao hauruhusu mapenzi ya jinsia moja kwa hoja hiyo kuwa na mashiko. Je ni kweli meta haruhusu maudhui ya mapenzi ya jinsia moja? Hapa naona kuna zaidi ya jambo hili ambalo wengi wameliingilia na kulilalamikia kana kwamba wanaongea ukweli.

Aidha sera ya twitter (X) imekuwa tu kwamba inaruhusu maudhui ya ngono, na maudhui ya ngono yanapatikana maeneo mbalimbali sio tu X, tena kwa muangaliaji wa ngono hawezi kukaa X kutafuta ngono ataingia mitandao stahiki.

Kwa hiyo hao vijana wanaoomba X au twitter ifungiwe, wanasababu gani haswa. Kama ishu ni maudhui ya mapenzi ya jinsia moja kwa nini wasiombe mitandao yote ifungiwe tuwe kama China tu?
Acheni unafiki, fanyeni mambo ya msingi, mapenzi ya jinsia moja hayawezi kuisha kwa akili zenu za kinafiki, kwani nani hajawahi kula kiboga au kuliwa? Spana zinawakaba au sioo, huwezi kukwepa haya mambo popote pale, so tutulie tuu. Kika mtu ajilinde mwenyewe na sio kufungia mitandao tutarudi nyumaa miaka 60 badala ya kusonga mbele. Hiyo mitandao ya kijamii ndio inasaidia kukutanisha watu wa jinsia moja kutokana na ugumu wa kumuingia mtu so acheni watu wakutane kwa raha jaman, ili mradi hakuna mtu anaekerwa
 
Mtandao wa x (zamani twitter) ulisifika kuwa na vijana wasomi na wenye maendeleo kulinganisha na mitandao mingine ya kijamii lakini sasa naona hali hiyo imebadilika.

Account za kuonesha maudhui ya ngono zimejaa mno kiasi kwamba huwezi scroll page mbili bila kukutana na content yoyote ya porn.

Nandhani ni mda sahihi wa sisi vijana tunaojielewa kuhamia mitandao mingine rasmi ya kijamii.
 
Mtandao wa x (zamani twitter) ulisifika kuwa na vijana wasomi na wenye maendeleo kulinganisha na mitandao mingine ya kijamii lakini sasa naona hali hiyo imebadilika. Account za kuonesha maudhui ya ngono zimejaa mno kiasi kwamba huwezi scroll page mbili bila kukutana na content yoyote ya porn. Nandhani ni mda sahihi wa sisi vijana tunaojielewa kuhamia mitandao mingine rasmi ya kijamii.
✖️
 
Back
Top Bottom