Ni mtandao gani unaozuia maudhui ya ngono na mapenzi ya jinsia moja?

Ni mtandao gani unaozuia maudhui ya ngono na mapenzi ya jinsia moja?

Mtandao wa x (zamani twitter) ulisifika kuwa na vijana wasomi na wenye maendeleo kulinganisha na mitandao mingine ya kijamii lakini sasa naona hali hiyo imebadilika. Account za kuonesha maudhui ya ngono zimejaa mno kiasi kwamba huwezi scroll page mbili bila kukutana na content yoyote ya porn. Nandhani ni mda sahihi wa sisi vijana tunaojielewa kuhamia mitandao mingine rasmi ya kijamii.
Sure. Ni mda wa kuhamia JamiiForums
 
Mtandao wa x (zamani twitter) ulisifika kuwa na vijana wasomi na wenye maendeleo kulinganisha na mitandao mingine ya kijamii lakini sasa naona hali hiyo imebadilika. Account za kuonesha maudhui ya ngono zimejaa mno kiasi kwamba huwezi scroll page mbili bila kukutana na content yoyote ya porn. Nandhani ni mda sahihi wa sisi vijana tunaojielewa kuhamia mitandao mingine rasmi ya kijamii.
Sio kweli kabisa. Mimi natumia X sijawahi kuona content hata moja ya porn.

Wewe ukiwa unasearch porno na kuangakia machoko kila siku lazima yataendelea kuja kwenye timeline yako. Sio X tu hata IG.

Nakushauri uache kujinga wa kuangalia angalia machoko na porno kwenye mitandao halafu mwisho wa diku unakuja kulia lia hapa ili X ifungiwe.
 
Wewe ndio tatizo,
Tatizo sio mtandao
Mfano ukiwa na nia ya kuvua samaki ziwani ukaambulia kutoka na michanga tatizo litakuwa ziwa au uzembe wako
Kuwa makini kijana wewe ni mpenda kuangalia pilau.
Tumejua😅
 
Hicho ndo kilinifanya niamie huku jf na nina mwaka sasa tangu nitoke x_twitter,fb,insta na telegram
 
Na Mhuni yupo kwenye mapinduzi ya kuanzisha Xmail na Gmail inaenda kufa kifo cha mende 😂😂😂
Aisee Elon atawaua wazungu wa ulaya na vile hawampendi. Mwambs ana itu vingi sana. Wazungu wa West mwanzoni wali mu underate kwa kuwa katoka third world country kumbe ni kiumbe kingine. Sasa wana Mhaho. Ipo siku Elon musk atakuwa ana kila teknolojia, huyu ni mtu ambae hajawahi tokea duniani.
 
Wewe ndio tatizo,
Tatizo sio mtandao
Mfano ukiwa na nia ya kuvua samaki ziwani ukaambulia kutoka na michanga tatizo litakuwa ziwa au uzembe wako
Kuwa makini kijana wewe ni mpenda kuangalia pilau.
Tumejua😅
Aiseee 🤣 🤣 🤣 🤣 watu mnamkazia
 
Back
Top Bottom