Ni mtandao gani unaozuia maudhui ya ngono na mapenzi ya jinsia moja?

Ni mtandao gani unaozuia maudhui ya ngono na mapenzi ya jinsia moja?

Mzee unalielewa vizuri balaa la Gmail?
Kwa ufupi ecosystem ya Google itachukua muda na nguvu nyingi kuiua. Ukitumia simu ya Android, lazima Google account. Ukitaka uwe na channel Youtube, Gmail inahusika. Ni kama hapa Bongo na bidhaa za Bakhresa.
 
Kwa ufupi ecosystem ya Google itachukua muda na nguvu nyingi kuiua. Ukitumia simu ya Android, lazima Google account. Ukitaka uwe na channel Youtube, Gmail inahusika. Ni kama hapa Bongo na bidhaa za Bakhresa.
Mbona ni rahisi sana kummaliza Google kitakachofanyika ni Elon kuja na Operating system yake pamoja na device zake, Google mbona mchumba tu
 
Sidhani kama unaweza amasisha vijana kutotumia X kwa vijana wanaojitambua sizani kama wanafanya hiyo field
 
Mtandao wa x (zamani twitter) ulisifika kuwa na vijana wasomi na wenye maendeleo kulinganisha na mitandao mingine ya kijamii lakini sasa naona hali hiyo imebadilika.

Account za kuonesha maudhui ya ngono zimejaa mno kiasi kwamba huwezi scroll page mbili bila kukutana na content yoyote ya porn.

Nandhani ni mda sahihi wa sisi vijana tunaojielewa kuhamia mitandao mingine rasmi ya kijamii.
Karibu Jief ndugu
 
Mbona ni rahisi sana kummaliza Google kitakachofanyika ni Elon kuja na Operating system yake pamoja na device zake, Google mbona mchumba tu
Operating system ngapi zimeshindana na Android na zikashinda? Itahitaji muda kwanza hadi watu wavutiwe kuitumia, na hiyo ni mpaka wahakikishiwe app zao muhimu watazikuta kwenye hiyo OS. Kazi nyingine hiyo ya kuwashawishi developers.

HarmonyOS ilipata break through kupitia Huawei flagship phone zake na hata hivyo Huawei hawakuwa wageni. Walikuwa kwenye soko tayari na wana diehards wengi.
 
Mtandao huwa haukupi unachokitaka huwa unakupa unachokitafuta
Anatafta yeye mwenyewe porn halafu analaumu mtandao. Kwenye mtandao kuna kitu kinaitwa Algorithm ambacho husoma unachokipendelea kukitafta mtandaoni na inakuletea.

Mtandao humuonyesha mtu kitu anachokipenda yeye mwenyewe na anakitafta.

Asisingizie X kwamba inamlazimiaha kuangalia porn, anazitafta yeye mwenyewe. Stori nyingine za kitoto akawadanganye watoto wenzake huko ambao hawajui mutandao inafanyaje kazi.
 
Operating system ngapi zimeshindana na Android na zikashinda? Itahitaji muda kwanza hadi watu wavutiwe kuitumia, na hiyo ni mpaka wahakikishiwe app zao muhimu watazikuta kwenye hiyo OS. Kazi nyingine hiyo ya kuwashawishi developers.

HarmonyOS ilipata break through kupitia Huawei flagship phone zake na hata hivyo Huawei hawakuwa wageni. Walikuwa kwenye soko tayari na wana diehards wengi.
Haikuwepo ya Elon Musk yuke hashindwaji kitu alete uone atakavyoondoka na kijiji. Google ni kampuni ya Makoloni ndio maana yanadhulumu Publishers
 
Haikuwepo ya Elon Musk yuke hashindwaji kitu alete uone atakavyoondoka na kijiji. Google ni kampuni ya Makoloni ndio maana yanadhulumu Publishers
Ulisikia ya Musk na Sam Altman wa OpenAI? Una uhakika gani Elon hatakuwa koloni pia? Anyway tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom