Ni mtazamo tu juu ya skendo hii ya karne

Nakusabahi msukuma![emoji113]
 
Ulipotea sana.

Pole kwa ujenzi wa taifa na inafurahisha kwamba umeimaliza hiyo shughuli salama.

Endelea kubarikiwa Boss Lady πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
Nipo msukuma!! Nimefurahi sana kukuona rafiki! Sikuoni kabisaaa ule uwanja wa Nyumbani sikuhizi!!
I hope all is well with you!!
Uwe na wakati mwema mkuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…