Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Na ndo inavotakiwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah, hivi huu ni ukweli mchungu au ni masimango Mkuu 😂😂Hela imekukataa huilalamikii ila mwanamke amekukataa unalalamikaaa!!!
Mkuu mwenyewe, we sio wakuniita mkuu😅Si ungesamalaizi tu kuwa atafute hela.
Umezunguka sana mkuu
We binti 😂Hela imekukataa huilalamikii ila mwanamke amekukataa unalalamikaaa!!!
Money is everything.. Hata kunyanduana na njaa munkari hupungua.. Mpe likizo atakayo ujipangeDemu wangu ni mlokole Jana
Amenambia hatuwez ku do sex tena Hadi tutakapofunga ndoa.
Na ukumbe mwanzo tuki nyanduana fresh tu.
Nikirelate na hardlife nalopitia now ,misoto Mimi Sina hela kabsa , nafight job sijapata .
Na hisii kama huu ni mtego duhh..
Emb nishaurini
Mkuu si nakupa heshima yako mkuu🤣Mkuu mwenyewe, we sio wakuniita mkuu😅
Atafute hela lengo kuu ni hilo, basi
Heshima yangu siipati kwa kuniita mkuu😅Mkuu si nakupa heshima yako mkuu🤣
Nakazia hiyo sentensi ya mwisho.
Ila lile tendo na njaa sio poa, mnaweza kuzimia katikati ya mechi ujue.Money is everything.. Hata kunyanduana na njaa munkari hupungua.. Mpe likizo atakayo ujipange
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nimeacha best angu🤗Heshima yangu siipati kwa kuniita mkuu😅
Asipoelewa shauri yake
😂 mbona watibeli tunawasha moto na njaa hivyo hivyo na hakuna kilichotokeaIla lile tendo na njaa sio poa, mnaweza kuzimia katikati ya mechi ujue.
Mpelekwe hospital waseme mna kifafa kumbe hamkula
Hata hilo ni la muda tu 😅Basi nimeacha best angu🤗
Msiwe mnatesa watoto wa watu jamani, hakikisheni wameshiba wameshushia na Pepsi baridi ndio muwapelekee moto😂 mbona watibeli tunawasha moto na njaa hivyo hivyo na hakuna kilichotokea
La milele ni gani😂Hata hilo ni la muda tu 😅
Wanakuwa wazito sana ad wanaharibu kipindi 😂Msiwe mnatesa watoto wa watu jamani, hakikisheni wameshiba wameshushia na Pepsi baridi ndio muwapelekee moto
Kwamba hulijui ?La milele ni gani😂
Mnawasingizia tu bana ili msiwanunulie chips yai😅, acheni hizoWanakuwa wazito sana ad wanaharibu kipindi 😂
Hahaa njoo tule mihogoKwamba hulijui ?
Utanilisha?Hahaa njoo tule mihogo
Sasa chips yai nayo ni chakula ya kula kabla ya kipindi?Mnawasingizia tu bana ili msiwanunulie chips yai😅, acheni hizo
Eeh sisi tunakula vitu soft soft😋Sasa chips yai nayo ni chakula ya kula kabla ya kipindi?