Enock gabriel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2021
- 348
- 321
Unanikatisha tamaa sasa!Ukishakua.
😂😂😂😂Nimecheka kifalaUkishakua.
Subiri mpaka wimbi la 3 la corona lipite
Hatari sana hii JF!subiri mpaka katiba mpya ije
Nipo chuo mwaka wa 2Shule zishafunguliwa ebu tulia kwanza umalize masomo yako ndo uwazie hayo sawa bwana mdogo.
Tulia sasa umalize masomo yako.Nipo chuo mwaka wa 2
Madrassa ama?Nipo chuo mwaka wa 2
Hama hostel kwanzaNipo chuo mwaka wa 2
Sikai hostel, nipo ghetto.Hama hostel kwanza
UniversityMadrassa ama?