Ni muda gani naweza kumtongoza binti baada ya kufahamiana?

Ni muda gani naweza kumtongoza binti baada ya kufahamiana?

Inategemea na msichana mwenyewe yupoje yupoje. Mwingine unaweza kukutana nae asubuhi ukamsaundisha jioni unakula mzigo. Wengine ni atakuangaisha mwaka mzima.. ila ukiwa na pesa na muonekano mzuri ni chap chap tu
kwenye pesa sawa, ila swala la muonekano nadhani weka kando utachelewa kula mzigo ila utawai kusifiwa tu "very handsome".

Kuhusu kurushwa hadi mwaka inategemea na subra ulioumbwa nayo. karne ya sasa hatunaga kufika mwaka bila kuelewa matokeo.
 
Wakati wa uvulana kidudu kinakuwa-ga na kiherehere hatari [emoji1] halafu unapokuwa mbali na msichana uliye na hisia naye inakuwa unajiamini kweli kweli kwamba nikikutana naye namtongoza...ngoja atokezee mbele yako sasa baaaaaah! kujiamini kote kunaisha unabaki unababaika tu.

We mwambie tu lakini uwe tyr kwa jibu lolote
 
kwenye pesa sawa, ila swala la muonekano nadhani weka kando utachelewa kula mzigo ila utawai kusifiwa tu "very handsome".

Kuhusu kurushwa hadi mwaka inategemea na subra ulioumbwa nayo. karne ya sasa hatunaga kufika mwaka bila kuelewa matokeo.
Kuna mademu bado wana misimamo mzee. Nina jamaa yangu anamfukuzia sister wa kikatoliki mwaka wa pili sasa kila siku anaambiwa ntakujibu kesho.
 
hahaha,
mi huwa hata siongei sana ni signal na kumshika shika kimahaba na utani utani,,mwisho unamla denda mengine yanafatia..
siku zote usimuone km wa thamani wakati wengine wanapiga kilaini tuu
 
Back
Top Bottom