Mkwekwe_mchanja
Senior Member
- Oct 16, 2020
- 153
- 170
kwenye pesa sawa, ila swala la muonekano nadhani weka kando utachelewa kula mzigo ila utawai kusifiwa tu "very handsome".Inategemea na msichana mwenyewe yupoje yupoje. Mwingine unaweza kukutana nae asubuhi ukamsaundisha jioni unakula mzigo. Wengine ni atakuangaisha mwaka mzima.. ila ukiwa na pesa na muonekano mzuri ni chap chap tu
Kuna mademu bado wana misimamo mzee. Nina jamaa yangu anamfukuzia sister wa kikatoliki mwaka wa pili sasa kila siku anaambiwa ntakujibu kesho.kwenye pesa sawa, ila swala la muonekano nadhani weka kando utachelewa kula mzigo ila utawai kusifiwa tu "very handsome".
Kuhusu kurushwa hadi mwaka inategemea na subra ulioumbwa nayo. karne ya sasa hatunaga kufika mwaka bila kuelewa matokeo.
Ni pm namba yake kwanza nimsome yukoje,then nikwambie cha kufanya..simple tuUniversity
Waganga wote hawa unakosaje saKuna mademu bado wana misimamo mzee. Nina jamaa yangu anamfukuzia sister wa kikatoliki mwaka wa pili sasa kila siku anaambiwa ntakujibu kesho.
Hata ww bado kuna watu wanakuletea ngonjera? Na unaimba nao?😀😀Mwambie nmekupenda usimwambie nakupenda (Nakupendq ni uwongo)
Yaani waganga wa kienyeji au??Waganga wote hawa unakosaje sa
ndio,sa kama naangaika mwaka mzima na manzi hampati, si akamroge tu.hahahaYaani waganga wa kienyeji au??
mimi hapana kwakweli [emoji28] labda nimuelewe tu mchiziHata ww bado kuna watu wanakuletea ngonjera? Na unaimba nao?[emoji3][emoji3]
Mapenzi ya kurogana hayanogindio,sa kama naangaika mwaka mzima na manzi hampati, si akamroge tu.hahaha
Ahsante dada yangu. Nimekupenda.Mwambie nmekupenda usimwambie nakupenda (Nakupendq ni uwongo)
hajarogwa huyo ukiona ivoMapenzi ya kurogana hayanogi