Ukiwa Kiongozi wa Nchi pamoja na mambo mengine ni kuwa mtulivu , kuwa na muda mrefu wa kutafakari kwa fikra tunduivu uelekeo wa Taifa.
Kwa kufanya hivyo unatoa uongozi na majawabu pale vyombo na taasisi zilizopo kisheria zinapokushauri.
Meditation inahitaji muda na utulivu . Nachoshangaa ni ndugu hawa kila kukicha makongamano, ufunguzi, ziara na matamasha. Muda wa kutafakari wanapata wapi jameni?
Kwa kufanya hivyo unatoa uongozi na majawabu pale vyombo na taasisi zilizopo kisheria zinapokushauri.
Meditation inahitaji muda na utulivu . Nachoshangaa ni ndugu hawa kila kukicha makongamano, ufunguzi, ziara na matamasha. Muda wa kutafakari wanapata wapi jameni?