Ni muda muafaka kupeleka hoja ya kuwa na serikali ya Tanganyika

Ni muda muafaka kupeleka hoja ya kuwa na serikali ya Tanganyika

Sipingi uwepo wa Muungano. La hasha. Ila lazima tuwe wakweli ni wakati mwafaka wa kuwa na Serikali ya Tanganyika. Iongozwe na Mtanganyika na asimamie rasilimali za Tanganyika.

Zanzibar iwe huru kama ilivyo sasa na Serikali yake. Ijulikane wazi mchango wa zanzibar na tanganyika katika kuendesha Serikali ndogo ya Muungano.

Nafasi za uongozi katika structure ya Serikali ya Tanganyika ziwe kwa Watanganyika kama ilivyo kwa sasa Zanzibar nafasi za uongozi zipo kwa wazanzibari.

Hawa ma DC waliopo Mkuranga na Kilosa toka Zanzibar sio sawa kwa sasa. Huu muundo ni kero.
Ingependeza Zanzibar iwe sehemu ya mkoa wa DSM na kufanywa kuwa kijiji cha utalii.
 
Sipingi uwepo wa Muungano. La hasha. Ila lazima tuwe wakweli ni wakati mwafaka wa kuwa na Serikali ya Tanganyika. Iongozwe na Mtanganyika na asimamie rasilimali za Tanganyika.

Zanzibar iwe huru kama ilivyo sasa na Serikali yake. Ijulikane wazi mchango wa zanzibar na tanganyika katika kuendesha Serikali ndogo ya Muungano.

Nafasi za uongozi katika structure ya Serikali ya Tanganyika ziwe kwa Watanganyika kama ilivyo kwa sasa Zanzibar nafasi za uongozi zipo kwa wazanzibari.

Hawa ma DC waliopo Mkuranga na Kilosa toka Zanzibar sio sawa kwa sasa. Huu muundo ni kero.
Mbona Zanzibar imekuwa gumzo la kila siku, kwa nini tunasumbuka na mambo ya kukitaka hiki Kisiwa ama kukingangania, Nauliza Mkazi aliyepo Mbeya, Sumbawanga, Kigoma, ananufaika na nini na hivi visiwa. Si tuwape uhuru wao nasi tubaki na Tanganyika yetu. malalamiko na vilio vingi vya nini na hali sisi ndio tunaowangangania.
 
Tanganyika ni nchi iliyofichwa chini ya mwamvuli wa Muungano. Watanganyika ni watu wenye tabia tofauti na Wazanzibari. Tumewaruhusu wazanzibari watutawale kwa kivuli cha muungano na sasa wamefikia hatua ya kujimilikisha maliasili zetu.

Kitendo cha kukodisha bandari kwa mkataba usio na ukomo na hata kuamrisha polisi watushughulikie pale tunapohoji yale tunayoona ni kinyume na katiba ya nchi yamedhihirisha jambo hili. (Rejea kauli ya waziri Masauni akiamrisha polisi watukamate na kutupiga pale tunapohoji maswala ya mkataba tata wa DP-World)

Wakati Wazanzibari wakiwa wamesimama imara kuulilia utambulisho wao kimataifa sisi Watanganyika tumelala usingizi wa pono. Hatutaki kudai wala hatujishughulishi kudai iliyo haki yetu. Kumbe tulidanganywa tangu tulipokuwa shule za msingi kuhusu muungano wa Tanganyyika na Zanzibar na kuunda Taifa jipya la Tanzania kinyume chake ni kwamba tuliuficha Utanganyika na kuuanzisha, kisha kuutukuza Utanzania ambao kwa sasa umekuwa ni sehemu ya anguko letu kama taifa.

Ni wajibu wetu sasa sisi kama raia wa Tanganyika kuendelea kudai uhuru kamili wa kujitawala, huku tukiamini kwamba Wazanzibari ni wenzetu na ndugu zetu katika muungano huu lakini hawana mamlaka ya kututawala ama kutuamulia cha kufanya katika ardhi yetu wenyewe. Viva Tanganyika, aluta continua.

1200px-Flag_of_Tanganyika_(1961–1964).svg.png
 
Tuidai vipi? au tudai Katiba mpya yenye muundo wa serikali tatu.
 
Tanganyika ni nchi iliyofichwa chini ya mwamvuli wa Muungano. Watanganyika ni watu wenye tabia tofauti na Wazanzibari. Tumewaruhusu wazanzibari watutawale kwa kivuli cha muungano na sasa wamefikia hatua ya kujimilikisha maliasili zetu.

Kitendo cha kukodisha bandari kwa mkataba usio na ukomo na hata kuamrisha polisi watushughulikie pale tunapohoji yale tunayoona ni kinyume na katiba ya nchi yamedhihirisha jambo hili. (Rejea kauli ya waziri Masauni akiamrisha polisi watukamate na kutupiga pale tunapohoji maswala ya mkataba tata wa DP-World)

Wakati Wazanzibari wakiwa wamesimama imara kuulilia utambulisho wao kimataifa sisi Watanganyika tumelala usingizi wa pono. Hatutaki kudai wala hatujishughulishi kudai iliyo haki yetu. Kumbe tulidanganywa tangu tulipokuwa shule za msingi kuhusu muungano wa Tanganyyika na Zanzibar na kuunda Taifa jipya la Tanzania kinyume chake ni kwamba tuliuficha Utanganyika na kuuanzisha, kisha kuutukuza Utanzania ambao kwa sasa umekuwa ni sehemu ya anguko letu kama taifa.

Ni wajibu wetu sasa sisi kama raia wa Tanganyika kuendelea kudai uhuru kamili wa kujitawala, huku tukiamini kwamba Wazanzibari ni wenzetu na ndugu zetu katika muungano huu lakini hawana mamlaka ya kututawala ama kutuamulia cha kufanya katika ardhi yetu wenyewe. Viva Tanganyika, aluta continua.

View attachment 2683029
sahihi kabisa
 
Tanganyika ni nchi iliyofichwa chini ya mwamvuli wa Muungano. Watanganyika ni watu wenye tabia tofauti na Wazanzibari. Tumewaruhusu wazanzibari watutawale kwa kivuli cha muungano na sasa wamefikia hatua ya kujimilikisha maliasili zetu.

Kitendo cha kukodisha bandari kwa mkataba usio na ukomo na hata kuamrisha polisi watushughulikie pale tunapohoji yale tunayoona ni kinyume na katiba ya nchi yamedhihirisha jambo hili. (Rejea kauli ya waziri Masauni akiamrisha polisi watukamate na kutupiga pale tunapohoji maswala ya mkataba tata wa DP-World)

Wakati Wazanzibari wakiwa wamesimama imara kuulilia utambulisho wao kimataifa sisi Watanganyika tumelala usingizi wa pono. Hatutaki kudai wala hatujishughulishi kudai iliyo haki yetu. Kumbe tulidanganywa tangu tulipokuwa shule za msingi kuhusu muungano wa Tanganyyika na Zanzibar na kuunda Taifa jipya la Tanzania kinyume chake ni kwamba tuliuficha Utanganyika na kuuanzisha, kisha kuutukuza Utanzania ambao kwa sasa umekuwa ni sehemu ya anguko letu kama taifa.

Ni wajibu wetu sasa sisi kama raia wa Tanganyika kuendelea kudai uhuru kamili wa kujitawala, huku tukiamini kwamba Wazanzibari ni wenzetu na ndugu zetu katika muungano huu lakini hawana mamlaka ya kututawala ama kutuamulia cha kufanya katika ardhi yetu wenyewe. Viva Tanganyika, aluta continua.

View attachment 2683029
#Bring back our Tanganyika

#Sa100 aachie uongozi akasuke ukili kwao
 
Tanganyika ni nchi iliyofichwa chini ya mwamvuli wa Muungano. Watanganyika ni watu wenye tabia tofauti na Wazanzibari. Tumewaruhusu wazanzibari watutawale kwa kivuli cha muungano na sasa wamefikia hatua ya kujimilikisha maliasili zetu.

Kitendo cha kukodisha bandari kwa mkataba usio na ukomo na hata kuamrisha polisi watushughulikie pale tunapohoji yale tunayoona ni kinyume na katiba ya nchi yamedhihirisha jambo hili. (Rejea kauli ya waziri Masauni akiamrisha polisi watukamate na kutupiga pale tunapohoji maswala ya mkataba tata wa DP-World)

Wakati Wazanzibari wakiwa wamesimama imara kuulilia utambulisho wao kimataifa sisi Watanganyika tumelala usingizi wa pono. Hatutaki kudai wala hatujishughulishi kudai iliyo haki yetu. Kumbe tulidanganywa tangu tulipokuwa shule za msingi kuhusu muungano wa Tanganyyika na Zanzibar na kuunda Taifa jipya la Tanzania kinyume chake ni kwamba tuliuficha Utanganyika na kuuanzisha, kisha kuutukuza Utanzania ambao kwa sasa umekuwa ni sehemu ya anguko letu kama taifa.

Ni wajibu wetu sasa sisi kama raia wa Tanganyika kuendelea kudai uhuru kamili wa kujitawala, huku tukiamini kwamba Wazanzibari ni wenzetu na ndugu zetu katika muungano huu lakini hawana mamlaka ya kututawala ama kutuamulia cha kufanya katika ardhi yetu wenyewe. Viva Tanganyika, aluta continua.

View attachment 2683029
we fala inawezekana siyo mtanzania, ila kwa taarifa tu hata mpaka vilembwe vyako huo upuuzi wenu hautawahi tokea. Km Vp mkale hizo pesa za wanaowatumia Muungano wetu ni tunu ta yetu hautavunjika kamwe. Mabwege yaliyojaa ubaguzi, baada ya hapo mtaanza kudai ukanda, mshindwe na mlegee, watu wenye akili wanafikiria shirikisho la kisiasa la Africa Mashariki we unaongelea huo utumbo? Uko dunia ipi
 
Tanganyika ni nchi iliyofichwa chini ya mwamvuli wa Muungano. Watanganyika ni watu wenye tabia tofauti na Wazanzibari. Tumewaruhusu wazanzibari watutawale kwa kivuli cha muungano na sasa wamefikia hatua ya kujimilikisha maliasili zetu.

Kitendo cha kukodisha bandari kwa mkataba usio na ukomo na hata kuamrisha polisi watushughulikie pale tunapohoji yale tunayoona ni kinyume na katiba ya nchi yamedhihirisha jambo hili. (Rejea kauli ya waziri Masauni akiamrisha polisi watukamate na kutupiga pale tunapohoji maswala ya mkataba tata wa DP-World)

Wakati Wazanzibari wakiwa wamesimama imara kuulilia utambulisho wao kimataifa sisi Watanganyika tumelala usingizi wa pono. Hatutaki kudai wala hatujishughulishi kudai iliyo haki yetu. Kumbe tulidanganywa tangu tulipokuwa shule za msingi kuhusu muungano wa Tanganyyika na Zanzibar na kuunda Taifa jipya la Tanzania kinyume chake ni kwamba tuliuficha Utanganyika na kuuanzisha, kisha kuutukuza Utanzania ambao kwa sasa umekuwa ni sehemu ya anguko letu kama taifa.

Ni wajibu wetu sasa sisi kama raia wa Tanganyika kuendelea kudai uhuru kamili wa kujitawala, huku tukiamini kwamba Wazanzibari ni wenzetu na ndugu zetu katika muungano huu lakini hawana mamlaka ya kututawala ama kutuamulia cha kufanya katika ardhi yetu wenyewe. Viva Tanganyika, aluta continua.

View attachment 2683029
we fala inawezekana siyo mtanzania, ila kwa taarifa tu hata mpaka vilembwe vyako huo upuuzi wenu hautawahi tokea. Km Vp mkale hizo pesa za wanaowatumia Muungano wetu ni tunu ta yetu hautavunjika kamwe. Mabwege yaliyojaa ubaguzi, baada ya hapo mtaanza kudai ukanda, mshindwe na mlegee, watu wenye akili wanafikiria shirikisho la kisiasa la Africa Mashariki we unaongelea huo utumbo? Uko dunia ipi
Hakuna muungano wa kipumbavu wenye tunu. Samia anauza mali za Tanganyika hauzi mali za serikali ya Muungano wewe pimbi kama hujuwi kitu kojoa kalale tuachie wenye uchungu na Tanganyika tuidai nchi yetu.
Angeziweka ktk mnada na Bandari za Zanzibar tungejua kweli huu Muungano ni mzuri. Wao vya kwao ni vyao vya Tanganyika ndio vya Muungano hakuna kitu kama hicho.
Watajua hawajui
 
Kinachonishangaza kuna rais wa zanzibar na serikali yake.vipi kuhusu upande wa tanganyika??[emoji17][emoji17][emoji17]
 
Back
Top Bottom