Ni muda muafaka kwa sasa Serikali iajiri Manesi, Wahasibu na wataalamu wa manunuzi kwa shule zote za umma

Ni muda muafaka kwa sasa Serikali iajiri Manesi, Wahasibu na wataalamu wa manunuzi kwa shule zote za umma

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Nchi yetu inashuhudia tatizo kubwa la ukosefu wa ajira kwa sasa. Basi kutokana na shule nyingi za umma kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi basi ni vyema kuajiri Manesi kwa ajili ya kutoa huduma ya dharura ya kitabibu kwa wanafunzi wanaopata matatizo ya afya, wahasibu kushughulikia suala zima la malipo yote, watu wa ugamvi na manunuzi ama store keeper.
 
SI wenyewe wataalamu wa maji mpk Sasa kimya na waziri kila Mara analalamika kwanini hatupewi na utumishi.. sidhani km hoja yako inatekelezeka
 
Mkiambia Tanzania ni moja ya nchi maskini kabisa duniani huwa hamuelewi?

Hao watu wakiajiriwa watalipwa nini?
 
Back
Top Bottom