Ni muda muafaka sasa Viongozi wa Simba kuwasikiliza mashabiki

Ni muda muafaka sasa Viongozi wa Simba kuwasikiliza mashabiki

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Kwanza niwapongeze kwa kipindi chote hicho cha uwongozi wenu enyi viongozi wa Simba.Mliitoa Simba Shimoni(kutokuwa maarufu na tishio) hadi kuifanya timu maarufu Afrika kwa hatua mbalimbali ilizopitia chini ya uwongozi wenu.

Mmefanya mengi mazuri ambayo yanatakiwa kubaki kama kumbukumbu nzuri na ya kujipongeza.
Ombi langu kwenu sasa ni kuanziq kesho angalau tungeona TAARIFA KWA UMA.Kwa maana mpishe na wengine nao kuitumikia Simba.Kwa kufanya hivyo mtakuwa mmezidi kujiheshimisha kwa wanamichezo hasa timu ya Simba.

Timu inahitaji mabadiliko mengi ikiwemo na uwongozi kuachia kijiti Kwa heshima na wengine nao waitumikie Simba.
 
Wanamsimbazi Pamoja Na Viongozi Wenu Mbona Mpo Vizuri Sana.

Endeleeni Kuwa Hivyo Hivyo Hakuna Shida.
 
Wanasema eti kuna vita kati ya mo na salim abdala mwenyekiti wa bodi kuwa mwenyekiti wa bodi anataka kumpindua mo ili amlete saidi salim bakresa kuna kiongozi mmoja alisema humu ndani
 
Back
Top Bottom