Ni muda muafaka wa Spika Ndugai kuachia ngazi kwa hiari kwa kushindwa kulisimamia Bunge

Ni muda muafaka wa Spika Ndugai kuachia ngazi kwa hiari kwa kushindwa kulisimamia Bunge

Kama Spika Ndugai anakiri kuwa bunge zima lilipitisha sheria mbovu/ mbaya ya mifugo kutaifishwa ikiingia hifadhini basi huenda bunge limeshafanya madudu mengi sana.

Ndugai anadai huenda wabunge walikuwa wamelala usingizi wakati wa kupitisha sheria hiyo inaonyesha jinsi bungeni pasivyo na umakini kabisa.

Nashawishika kuamini hata akina Halima Mdee na wenzake huenda waliapishwa Spika akiwa usingizini bila kujua atendalo.

Kazi Iendelee!
Umenena!!!
 
Hafai hafai hafai hafai hafai hafai

Atoleweee atoleweee atoleweee atoleweee atoleweee atoleweee atoleweee atoleweee

Mvunja katiba huyo huyooo.......
 
Kama Spika Ndugai anakiri kuwa bunge zima lilipitisha sheria mbovu/ mbaya ya mifugo kutaifishwa ikiingia hifadhini basi huenda bunge limeshafanya madudu mengi sana.

Ndugai anadai huenda wabunge walikuwa wamelala usingizi wakati wa kupitisha sheria hiyo inaonyesha jinsi bungeni pasivyo na umakini kabisa.

Nashawishika kuamini hata akina Halima Mdee na wenzake huenda waliapishwa Spika akiwa usingizini bila kujua atendalo.

Kazi Iendelee!
Kwenye hili tuko pamoja
 
Wabunge ngono kwanza, ndiyo watuletee maendeleo!!!

Mamlaka zinazowapitisha ndizo zenye shida, zinaweka maslahi binafsi mbele
Kunatathimi ilifanyikaga nyakati Fulani kubaini ni Taifa lipi Africa linalopenda ngono kuliko vitu vingine barani Africa, ikabainika Tanzania inashika nafasi ya kwanza
 
Kunatathimi ilifanyikaga nyakati Fulani kubaini ni Taifa lipi Africa linalopenda ngono kuliko vitu vingine barani Africa, ikabainika Tanzania inashika nafasi ya kwanza
Mmmh!! Hatari sana
 
Kunatathimi ilifanyikaga nyakati Fulani kubaini ni Taifa lipi Africa linalopenda ngono kuliko vitu vingine barani Africa, ikabainika Tanzania inashika nafasi ya kwanza
🤣 😅 😆
Ukitaka kuthibitisha, anzisha uzi wa mapenzi hapa, at the same time weka uzi wa TANZIA ya mtu maarufu, huo wa tanzia utadumu kwa muda mfupi sana ila huo mwingine hata wiki 3
 
^Serikali imeshindwa kabisa; tuwapatie watu binafsi waendeshe^ ~ Spika Kazi Ndugai.

JKN: ^Mwanangu, kwa mtindo huu wa ubinafsishaji, muda si mrefu tutasikia umebinafsisha hadi jeshi!!!^
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Hodi wanajamvi,

Ambaye hajachoshwa na Ndugai anyoshe mkono ama afanye kama anajikuna tu ili tumuone hapa.

Sipika wetu Ni Kati ya watu wasioweza kusimama Kwenye msimamo mmoja.

Kipindi cha Hayati JPM kuhusu bandari ya Bagamoyo, alikaa kimya lakini Leo ndio mpiga Debe wa hiyo Bandari, tumweleweje?

Leo Anasema, Hayati hakushauriwa vizuri, yeye kama mhimili na msimamizi na mshauri mkuu wa serikali mbona hakufanya hivyo?

Aliruhusu Bunge kupitisha Sheria ya mifugo pindi ikiingia Kwenye hifadhi itaifishwe, Leo anajishangaa, aachie ngazi mara moja, kama anasahau Hadi kazi zake, kwani iko siku atakuja kupitisha Sheria ya wananchi kulala saa 10:39 jioni badala ya muda wa kawaida kulala.

Bunge limemshinda haeleweki, Tusisahau na zile pesa zilizotumika Kwenye matibabu yake na wakati huo huo mwenzake alipopatwa ajali ya kupigwa risasi alikataa Matumizi yaleyale aliyofanyiwa yeye, ajihudhuru aisee.

Ndugai, tunza hako kaheshima ulikobaki nako, Ng'ooooka hapo Kwenye kiti hicho.

Halafu Kwa mbaaali ni kama kanafanya kikampeni uchwara cha kuona kama atapata kibali ili wananchi tumuone anafaaa, sjui kanampango wa kuchukua fomu?
Kwani bado hajaondoka kwa hiyari yake , basi wabunge wenzake wamuondoe
 
Kufanyike/zipigwe Kura za kumwondoa
Nataka kuitisha Kura zipatazo m.moja tu, zikifika, nitakwenda mahakamani kutaka kufahamu hasa ni nini kazi za speeker kikatiba, maana huyu tuliyenaye ni mvunjaji wa katiba Yetu kimaksudi
 
Huu ni mzigo kwa taifa bwashee
Kama Spika Ndugai anakiri kuwa bunge zima lilipitisha sheria mbovu/ mbaya ya mifugo kutaifishwa ikiingia hifadhini basi huenda bunge limeshafanya madudu mengi sana.

Ndugai anadai huenda wabunge walikuwa wamelala usingizi wakati wa kupitisha sheria hiyo inaonyesha jinsi bungeni pasivyo na umakini kabisa.

Nashawishika kuamini hata akina Halima Mdee na wenzake huenda waliapishwa Spika akiwa usingizini bila kujua atendalo.

Kazi Iendelee!
 
Wabunge warudi majimboni waitishe mikutano ya hadhara,
Mbunge asihutubie Bali wananchi wawe huru kuuliza maswali kwa mbunge.
Mbunge aeleze kwanini hajatoa hoja binafsi yakumuondoa Spika.
SPIKA MBABE,
N/SPIKA MUONGO
 
Back
Top Bottom