Ni muda Sasa sijamtia machoni wala kumsikia huyu Mwamba, kulikoni?

Ni muda Sasa sijamtia machoni wala kumsikia huyu Mwamba, kulikoni?

Wana wema,
Ni muda sasa sijamtia machoni wala kumsikia hata kumsoma magazetini isiyo kawaida yake.

Namzungumzia Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Komredi Abdulhaman Kinana. Hata sakata la DP World hajasikika na ziara za mikoani hayupo. Si kawaida kukaa kimya kwenye mambo haya japo naye anamiliki meli na bandari kavu pale Kariakoo. Nahisi nyota-nyota.
Yuko Rombo mazikoni
 
Yuko sana tu, kwenye maziko ya Mh. Shirima alikuwa Moshi na aliongea kanisani kumuaga Mzee Shirima.
 
Haya maridhiano yanapelekwa polepole na Kinana ili 2025 wampitishe Samia bila ya kupata Katiba mpya.

Hii ndio strategy ya Kinana kwa sasa ndio maana yuko kimya.
 
Huyu mzee angekua Rais, Mbowe waziri mkuu! Walah hii nchi ingepaa!
 
Wana wema,
Ni muda sasa sijamtia machoni wala kumsikia hata kumsoma magazetini isiyo kawaida yake.

Namzungumzia Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Komredi Abdulhaman Kinana. Hata sakata la DP World hajasikika na ziara za mikoani hayupo. Si kawaida kukaa kimya kwenye mambo haya japo naye anamiliki meli na bandari kavu pale Kariakoo. Nahisi nyota-nyota.
He can go to hell or to Somalia
 
Wana wema,
Ni muda sasa sijamtia machoni wala kumsikia hata kumsoma magazetini isiyo kawaida yake.

Namzungumzia Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Komredi Abdulhaman Kinana. Hata sakata la DP World hajasikika na ziara za mikoani hayupo. Si kawaida kukaa kimya kwenye mambo haya japo naye anamiliki meli na bandari kavu pale Kariakoo. Nahisi nyota-nyota.
Yupo anakula kwa mrija NCHI IPO shwari Wazuri hawafi
 
Back
Top Bottom