Ni muda Sasa sijamtia machoni wala kumsikia huyu Mwamba, kulikoni?

Yuko Rombo mazikoni
 
Yuko sana tu, kwenye maziko ya Mh. Shirima alikuwa Moshi na aliongea kanisani kumuaga Mzee Shirima.
 
Haya maridhiano yanapelekwa polepole na Kinana ili 2025 wampitishe Samia bila ya kupata Katiba mpya.

Hii ndio strategy ya Kinana kwa sasa ndio maana yuko kimya.
 
Huyu mzee angekua Rais, Mbowe waziri mkuu! Walah hii nchi ingepaa!
 
He can go to hell or to Somalia
 
Yupo anakula kwa mrija NCHI IPO shwari Wazuri hawafi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…