mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Ktk hao wote uliowapongeza hapo labda kama unampongeza mama yako kwa kukuzaa lakini hakuna mwenye haki ya kupongezwa kabla ya kumpongeza aliyethubutu kutekeleza wazo la kujenga chanzo cha uhakika cha umeme leo wanaringia ni wao wamefanya.Tuwe waadilifu wajameni, tuliolaumu sanaaaa, sasa tupongeze sanaaaa,
Hongera doto, hongera mama, hongera tanesco
Kanyaga twende
Kushukuru ndio ubinadamuKwanini tusiwasifie watu wakitelekeza wajibu wao, inatakiwa tuwawajibishe wasipotelekeza
Ni tanzania pekee watu wanalipa Kodi ila serikali ikawapa huduma wanapiga magoti kushukuru
Tunapongeza waliopoKtk hao wote uliowapongeza hapo labda kama unampongeza mama yako kwa kukuzaa lakini hakuna mwenye haki ya kupongezwa kabla ya kumpongeza aliyethubutu kutekeleza wazo la kujenga chanzo cha uhakika cha umeme leo wanaringia ni wao wamefanya.
Unaogopa nisiwakumbushe?Ongea taratibu wasikusikie
Aah wapi, mambo yamenyooka sasaYaani hapa ndio umeshaharibu, tutarajie umeme kukatika
Unajidanganya!!!Tunapongeza waliopo
Asiyewepo na lake halipo
Ukame unakaribia watakata tu wewe subiriUnaogopa nisiwakumbushe?
Na kweli hata tanesco aliianzisha yeye, na hata doto ni yeye alimteuaUnajidanganya!!!
Hata wao wakiisoma hii statement wanakushangaa wakati wenyewe wanamu-appreciate
Bwawa limeanza kazi, sgr inaanza julaiUkame unakaribia watakata tu wewe subiri
Hakikisha main switch yako iko sawa?Wapi mbona Ubungo nimeamka hamna umeme.
Kwanza nahisi wameshaanza..jana usiku wamekata wamerudisha alfajiri..juzi pia walifanya hivyoBwawa limeanza kazi, sgr inaanza julai
Umeme tena tusahau kukatika
Aah ni loose connection tu hizo,Kwanza nahisi wameshaanza..jana usiku wamekata wamerudisha alfajiri..juzi pia walifanya hivyo
Kuna ujumbe unafikisha? Hapa nilipo umeme hakuna tangu saa nne asubuhi.Tuwe waadilifu wajameni, tuliolaumu sanaaaa, sasa tupongeze sanaaaa,
Hongera Doto, hongera mama, hongera Tanesco
Kanyaga twende