mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
- #21
Umeripoti tanesco emergency?Kuna ujumbe unafikisha? Hapa nilipo umeme hakuna tangu saa nne asubuhi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeripoti tanesco emergency?Kuna ujumbe unafikisha? Hapa nilipo umeme hakuna tangu saa nne asubuhi.
Ni loose connection tu, wapigie emergency fasta wanarekebishawanatuunguzia vitu kila siku kwa kuchezesha umeme.
Hakuna cha loose wala nini,,wanatabia ya kukata umeme haimaliz hata dak wanarudsha,,io loose connection mtaa mzima coz ukichungulia na majirani unaona giza,,na kama ni ivo bas io loose ni kubwaaaaaNi loose connection tu, wapigie emergency fasta wanarekebisha
Mbona Mbagala huwa unakatika.Tuwe waadilifu wajameni, tuliolaumu sanaaaa, sasa tupongeze sanaaaa,
Hongera Doto, hongera mama, hongera Tanesco
Kanyaga twende
WATANZANIA KITABIA, HAWANA SHUKURANI, WANATAFUTA LINGINE LA KULAUMU,WALIFANYIE KASI YA KULAUMU WAKIONGOZWA NA YULE MBELGIJI KENGE WAHEDI!Tuwe waadilifu wajameni, tuliolaumu sanaaaa, sasa tupongeze sanaaaa,
Hongera Doto, hongera mama, hongera Tanesco
Kanyaga twende
Mnaringa kwasababu hali ya hewa nzuri eeeh?Kama vipi ukatike tu
Nalog off
Naunga mkono kabisa, yaani wao ni kulaumu tu, ila kupongeza hawataki kabisaNCHI HII INA WATU WAJINGA SIPATA ONA!
Unataka wakateTuwe waadilifu wajameni, tuliolaumu sanaaaa, sasa tupongeze sanaaaa,
Hongera Doto, hongera mama, hongera Tanesco
Kanyaga twende
Tuwe waadilifu wajameni, tuliolaumu sanaaaa, sasa tupongeze sanaaaa,
Hongera Doto, hongera mama, hongera Tanesco
Kanyaga twende
It make senseMwaka wa uchaguzi huu serikali za mitaa na vijiji, mwakani ni uchaguzi mkuu, usishangae wenyeviti wa mitaa na wabunge pamoja na madiwani kuleta magari ya kuchonga barabara za ndani,
Lengo ni gear za kutongozea wapiga kura.
Baada ya 2026 kama hamna mgao ndio wapongezwe na si majira haya
Hakika