Ni muda sasa wa CHADEMA kupata uongozi mpya

Ni muda sasa wa CHADEMA kupata uongozi mpya

TheMaster

Member
Joined
Aug 10, 2023
Posts
36
Reaction score
68
Baada ya tetesi na maneno ya muda mrefu kuwa CHADEMA ni chama cha kaskazini au ni chama cha wachaga Ni muda sasa CHADEMA kutoka nje ya mikono na uangalizi wa wachaga, baada ya Edwin Mtei kuongoza CHADEMA kisha kumuachia rafiki yake Bob Makani kisha Freeman Mbowe ambaye ni baba mkwe wa Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA Edwin Mtei, sasa ni rasmi CHADEMA inapaswa kuongozwa na mtu asiyefungamana na wachaga na familia ya akina mtei na Makani.

Kumekuwa na tetesi kadhaa kuwa mtu kama John mrema amekuwa hana utii kwa katibu mkuu wa chama John Mnyika, au mtu kama Godbless Lema amekuwa akijiweka kama vile ndo makamu wa CHADEMA taifa, kuliko hata Tundu Lisu.

Sasa ni rasmi, Lisu anakuja kuondoa ombwe la ukabila ndani ya CHADEMA endapo atapata nafuu ya ushindi kwenye uchaguzi
 
Chama cha Demokrasia wakati M/kiti ana miaka 20 madarakani,Mnawaonaje watanzania🤣🤣
 
Kweli. Sura mpya, chadema mpya.

Mbowe milango iko wazi kwa ushauri.
 
Baada ya tetesi na maneno ya muda mrefu kuwa CHADEMA ni chama cha kaskazini au ni chama cha wachaga Ni muda sasa CHADEMA kutoka nje ya mikono na uangalizi wa wachaga, baada ya Edwin Mtei kuongoza CHADEMA kisha kumuachia rafiki yake Bob Makani kisha Freeman Mbowe ambaye ni baba mkwe wa Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA Edwin Mtei, sasa ni rasmi CHADEMA inapaswa kuongozwa na mtu asiyefungamana na wachaga na familia ya akina mtei na Makani.

Kumekuwa na tetesi kadhaa kuwa mtu kama John mrema amekuwa hana utii kwa katibu mkuu wa chama John Mnyika, au mtu kama Godbless Lema amekuwa akijiweka kama vile ndo makamu wa CHADEMA taifa, kuliko hata Tundu Lisu.

Sasa ni rasmi, Lisu anakuja kuondoa ombwe la ukabila ndani ya CHADEMA endapo atapata nafuu ya ushindi kwenye uchaguzi
Sure,
Freeman Aikaeli Mbowe atashinda uchaguzi na kuunda safu mpya ya uongozi Chadema Taifa 🐒
 
mm ndo maana si shabikii siasa aiwezekan unishaur ni dai katiba mpya wakat ww upo miaka 20 kweny chama je ukipewa uraisi si utageuza utawala wa kifalme,

Na ukifatilia kiundani iyo katiba wanayo dai vipengele vingi vya kuwanufaisha wao chadema sio taifa

na utakuta apo apo bado kuna watu wataka mbowe awe tena mwenye kiti kafanya nn iyo miaka yote ishirin hakuna,
Bora ccm democrasia ipo kdg
 
Baada ya tetesi na maneno ya muda mrefu kuwa CHADEMA ni chama cha kaskazini au ni chama cha wachaga Ni muda sasa CHADEMA kutoka nje ya mikono na uangalizi wa wachaga, baada ya Edwin Mtei kuongoza CHADEMA kisha kumuachia rafiki yake Bob Makani kisha Freeman Mbowe ambaye ni baba mkwe wa Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA Edwin Mtei, sasa ni rasmi CHADEMA inapaswa kuongozwa na mtu asiyefungamana na wachaga na familia ya akina mtei na Makani.

Kumekuwa na tetesi kadhaa kuwa mtu kama John mrema amekuwa hana utii kwa katibu mkuu wa chama John Mnyika, au mtu kama Godbless Lema amekuwa akijiweka kama vile ndo makamu wa CHADEMA taifa, kuliko hata Tundu Lisu.

Sasa ni rasmi, Lisu anakuja kuondoa ombwe la ukabila ndani ya CHADEMA endapo atapata nafuu ya ushindi kwenye uchaguzi
Naunga mkono hoja
P
 
Back
Top Bottom