Ni muda sasa wa Cyprian Musiba Majula ameshinda, uovu ukimya wake umeshinda

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Musiba aliowatuhumu woote kwamba wanamhujumu Magufuli kwa kutaka kumpindua Magufuli na serikali yake alitwezwa na kubagazwa Sana lkn list yote aliyoitaja sasa iko nje ya Mfumo
January Makamba
Benard Membe (marehemu)
Nape Nnauye

Dulaa kinana

hongera Sana Musiba yametikis
January
 
Mkivuta bange za kanda ya ziwa mnaandika mambo yasiyo eleweka
 
Unaelewa maana ya kupinduliwa au unaongea tu?
 

Sasa Kama kijana kama Makamba anaweza kuplant watu mpaka Ikulu na idarani, usalama wa nchi yetu uko wapi sasa, kama hao usalama wenyewe ndio hawa ambao hata January anaweza kuweka mfukoni basi nina mashaka na hiyo idara na inawezekana hawajui hata kazi yao ni nini.

Kama watu wenyewe ndio hao tunaweza kweli kucompete na kasi ya Dunia ambapo watu wamefanya uwekezaji wa akili kwenye vichwa vya watu?
 
Musiba anapasha sauti siku si nyingi ataingia mzigoni watu wanamuona pale Kurasini opposite na chuo cha uhasibu na kaunda suti zake.
 
Hakuna mkate mgumu kwa Chai. Kilo moja ya Dollar ninzito kuliko kilomoja ya taarifa kificho.
 
Wote walioshangilia kifo cha Magufuli watapatwa na laana
 
Wenye Akili tulipokuwa tukisema hapa hapa JamiiForums kuwa TISS ya sasa kuna Matatizo lukuki mlitupuuza sana tu.
 
Yule ni mkono wa nyani hana jipya kama kidume kweli atoke huko shimon alipo
 
Poleni kwakuchapwa viboko vya hadharani...
 
Nasikia Musiba kaunga mkono mauaji ta Ali Kibao.

Kuna mwenye video yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…