Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Timu yetu ya Tanzania ambayo inajumuisha Bara na Visiwani.... Feitoto inapitia kipindi kigumu sana. Ukiangalia karibu nchi nyingi za Afrika timu zao zina majina ya tofauti.
Mfano Rwanda ama Msumbiji kuna Amavubi na Mamba.
Sisi huku ni Taifa Stars... hakuna hata nembo inayowakilisha nchi yetu. Nigeria wanajiita Tai na wanaye hasa Tai.
Ni muda sasa wa kuachana na jina la Taifa Stars na kutafuta jina jipya huenda kutakuwa na mafanikio.
Mfano Rwanda ama Msumbiji kuna Amavubi na Mamba.
Sisi huku ni Taifa Stars... hakuna hata nembo inayowakilisha nchi yetu. Nigeria wanajiita Tai na wanaye hasa Tai.
Ni muda sasa wa kuachana na jina la Taifa Stars na kutafuta jina jipya huenda kutakuwa na mafanikio.