barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Cliché sana....Pendekeza jina Sasa.....au tujiite Tanzanite?
Kila kitu tanzanite!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cliché sana....Pendekeza jina Sasa.....au tujiite Tanzanite?
Hayo madini yanapatikana Tz tu... hivyo ni nembo nzuriCliché sana....
Kila kitu tanzanite!
Umemjibu vizuri sana huyu Mataga,anafikili hata yeye alubadili jina lake akajiita Azam ndiyo atapata mafanikioUnaweza kutufokea, kutugombeza, kututukana, kutudharilisha na kutubeza hapa kila siku, kila saa, kila dakika.
Ila mwisho wa siku kuna kitu kimoja tu kitabaki kuwa kweli.
Kitu hicho ni hiki;
JINA HALISAIDII CHOCHOTE.
Unataka kutuambia timu ya taifa ya wanawake inafanya vizuri kwa sababu inaitwa TWIGA Stars ?
Ile ya vijana inafanya vizuri kwa sababu inaitwa SERENGETI Boys ?
Na ile nyingine ya Tanzania bara inafanya vizuri kwa sababu inaitwa KILIMANJARO Heroes ?
Au unataka tubadili jina kwa sababu za kihistoria na "kutangaza utalii", na sio kwa sababu za kimpira ?
Tunaweza kuiita vyovyote vile, ila mwisho wa siku JINA HALISAIDII.
Tuiite Rufiji, Malagarasi, Makinikia, Mwalimu Nyerere, Mkwawa, Kinjekitile, Pweza, Nyumbu, Makaa ya mawe, Tamisemi, Oldonyo Lengai Uzalendo, Kisiwa cha amani, n.k bado jina halitasaidia chochote.
Timu ikiwa na uwezo itafanya vizuri tu hata kama jina lake ni ZUBEDA, UYOGA au NANJILINJI.
Sawa ila kila kitu tanzanite, kuna timu tayari inaitwa hilo jina! Nafikirinunder 20 ya wanawake...Hayo madini yanapatikana Tz tu... hivyo ni nembo nzuri
Au tujiite Swahili stars.Sawa ila kila kitu tanzanite, kuna timu tayari inaitwa hilo jina! Nafikirinunder 20 ya wanawake...
Lina maana gani?Au tujiite Swahili stars.
Hakuna maana yoyote zaidi ya kuenzi kiswahili.Lina maana gani?
Kwangu naona halina mvuto...Hakuna maana yoyote zaidi ya kuenzi kiswahili.
Jaribu kupendekeza jina.Kwangu naona halina mvuto...
Tuiite The Girrafes!Timu yetu ya Tanzania ambayo inajumuisha Bara na Visiwani.... Feitoto inapitia kipindi kigumu sana. Ukiangalia karibu nchi nyingi za Afrika timu zao zina majina ya tofauti.
Mfano Rwanda ama Msumbiji kuna Amavubi na Mamba.
Sisi huku ni Taifa Stars... hakuna hata nembo inayowakilisha nchi yetu. Nigeria wanajiita Tai na wanaye hasa Tai.
Ni muda sasa wa kuachana na jina la Taifa Stars na kutafuta jina jipya huenda kutakuwa na mafanikio.
Nimeshapendekeza hapo juu...Jaribu kupendekeza jina.
Kibu kakosea nini? Mzamiru leo ni mkoja wa wachezaji waliocheza vizuri... kenedy kakosea wapi??Kwa namna inavyocheza tufute neno STARS kwenye jina la hii timu yetu ya taifa. Labda huko mbele ikija kuwa sawa na ya kisasa ndipo turejeshe hicho kipande kwenye hilo jina. Haiwezekani mtu kama Kibu Denis, Mzamiru,Kennedy Juma nao waitwe Stars!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanna sifa gani hao viumbe?Nimeshapendekeza hapo juu...
MBWA MWITU wa serengeti... THE WILD DOGS od Serengeti...
Wana sifa gani hao viumbe?Nimeshapendekeza hapo juu...
MBWA MWITU wa serengeti... THE WILD DOGS od Serengeti...
Acha kuendekeza Usimba na Uyanga kwenye timu ya taifa.Kwa namna inavyocheza tufute neno STARS kwenye jina la hii timu yetu ya taifa. Labda huko mbele ikija kuwa sawa na ya kisasa ndipo turejeshe hicho kipande kwenye hilo jina. Haiwezekani mtu kama Kibu Denis, Mzamiru,Kennedy Juma nao waitwe Stars!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa kubwa waliyo nayo ni umoja wanapokua wanawinda.....Wana sifa gani hao viumbe?
Acha kuendekeza Usimba na Uyanga kwenye timu ya taifa.
Wana umoja ktk kuwinda...Wanna sifa gani hao viumbe?
Nchi zote zina nickname hadi hizo za ulaya, na America.Jina halileti matokeo kijana....Germany nikname yao ni nini au Brazil?
Jengeni misingi imara ya kuzalisha vijana tokea chini huko kwenye grassroot...pelekeni vijana wengi nje wakawe hazina ya baadae,hizi timu kubwa Africa karibu kila mwaka wanazalisha vipaji vipya kupitia diaspora...kupitia uraia pacha,Nchi yenu haitaki hivyo wewe unataka timu ibadilishwe jina.