Nchi zote zina nickname hadi hizo za ulaya, na America.
-Brazil wanaitwa Selecao
-Ujerumani wanaitwa Die Manschaft
-Uingereza Three lions etc
Taifa stars ni jina zuri ila Team za Vijana zina majina yenye identity zaidi kama Serengeti Boys, ama Nyengine kama wadada Twiga stars na timu ya Bara kilimanjaro stars.
Usifikirie jina kama kiwango, jina ni identity na pia ni opportunity kuitangaza Nchi, hasa kwa kitu ambacho ni unique kwa nchi husika. Imagine unafuzu mataifa Africa ama Kombe la dunia na Timu inaitwa Kilimanjaro stars, unafikiri watu watakuwa na Doubt tena Mlima kilimanjaro upo Tanzania ama kenya?
Nchi nyingi za Kiafrica wanatangaza vitu unique vya kwao, Egpty na Farao, Angola na swala wao, Nigeria na Tai, Morocco na simba, Senegal na simba pia etc.