Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Leo CAF wametoa orodha ya wachezaji wanne wanaowania tuzo ya goli bora hatua ya makundi CAFCC, Hadi kufikia sasa Mudathiri Yahya wa Young Africans anaongoza kwa kura na kura hizo zinachukua masaa 24 tu.
Ni zamu ya Mudathiri
Ni zamu ya Yanga kung'aa CAF
Muda anawania na
. Aymen Mahious wa USM alger
. Aubin Kramo Kouamé wa Asec mimosa
. Paul Acquah wa Rivers Utd
Goli la Mudathiri alilifunga kwenye mechi dhidi ya TP Mazembe
Let us go Wananchiiiiii[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji817][emoji817][emoji817][emoji95]
Unaweza kupiga Kura kupitia ukurasa wa Twitter wa CAF - (CAFCLCC) na Link ipo kwenye bio[emoji3595] ya @yangasc instagram
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko[emoji1666][emoji1666]
Ni zamu ya Mudathiri
Ni zamu ya Yanga kung'aa CAF
Muda anawania na
. Aymen Mahious wa USM alger
. Aubin Kramo Kouamé wa Asec mimosa
. Paul Acquah wa Rivers Utd
Goli la Mudathiri alilifunga kwenye mechi dhidi ya TP Mazembe
Let us go Wananchiiiiii[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji817][emoji817][emoji817][emoji95]
Unaweza kupiga Kura kupitia ukurasa wa Twitter wa CAF - (CAFCLCC) na Link ipo kwenye bio[emoji3595] ya @yangasc instagram
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko[emoji1666][emoji1666]