Ni muda wa Mudathir Yahya

Ni muda wa Mudathir Yahya

Auto-Marvelt

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2019
Posts
1,653
Reaction score
3,336
Leo CAF wametoa orodha ya wachezaji wanne wanaowania tuzo ya goli bora hatua ya makundi CAFCC, Hadi kufikia sasa Mudathiri Yahya wa Young Africans anaongoza kwa kura na kura hizo zinachukua masaa 24 tu.
Ni zamu ya Mudathiri
Ni zamu ya Yanga kung'aa CAF

Muda anawania na
. Aymen Mahious wa USM alger
. Aubin Kramo Kouamé wa Asec mimosa
. Paul Acquah wa Rivers Utd

Goli la Mudathiri alilifunga kwenye mechi dhidi ya TP Mazembe
Let us go Wananchiiiiii[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji817][emoji817][emoji817][emoji95]

Unaweza kupiga Kura kupitia ukurasa wa Twitter wa CAF - (CAFCLCC) na Link ipo kwenye bio[emoji3595] ya @yangasc instagram

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko[emoji1666][emoji1666]

Screenshot_20230404-191335.jpg
 
Haya onyesheni unafki wenu. Simba walipokuwa wanapiga kura mlikuwa mnakejeli, basi potezeeni hili jambo.

Halafu hilo goli la Mudathir, Simba wamelifunga mara mbili toka wakati huo, mara ya pili katika uwanja mgumu kweli kweli kwa timu ngeni kupata goli.
 
Leo CAF wametoa orodha ya wachezaji wanne wanaowania tuzo ya goli bora hatua ya makundi CAFCC, Hadi kufikia sasa Mudathiri Yahya wa Young Africans anaongoza kwa kura na kura hizo zinachukua masaa 24 tu.
Ni zamu ya Mudathiri
Ni zamu ya Yanga kung'aa CAF

Muda anawania na
. Aymen Mahious wa USM alger
. Aubin Kramo Kouamé wa Asec mimosa
. Paul Acquah wa rivers utd
Goli la Mudathiri alilifunga kwenye mechi dhidi ya TP Mazembe
Let us go Wananchiiiiii[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji817][emoji817][emoji817][emoji95]
Unaweza kupiga Kura kupitia ukurasa wa Twitter wa CAF - (CAFCLCC) na Link ipo kwenye bio[emoji3595] ya @yangasc instagram

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko[emoji1666][emoji1666]View attachment 2576485
Sema la wiki sio la CAFCC, na kama kuna mwarabu kwenye hao wachezaji hamtoboi na sisi makoro tunawafanya kama mlivotufanyia kwa Chama
 
Leo CAF wametoa orodha ya wachezaji wanne wanaowania tuzo ya goli bora hatua ya makundi CAFCC, Hadi kufikia sasa Mudathiri Yahya wa Young Africans anaongoza kwa kura na kura hizo zinachukua masaa 24 tu.
Ni zamu ya Mudathiri
Ni zamu ya Yanga kung'aa CAF

Muda anawania na
. Aymen Mahious wa USM alger
. Aubin Kramo Kouamé wa Asec mimosa
. Paul Acquah wa rivers utd
Goli la Mudathiri alilifunga kwenye mechi dhidi ya TP Mazembe
Let us go Wananchiiiiii[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji817][emoji817][emoji817][emoji95]
Unaweza kupiga Kura kupitia ukurasa wa Twitter wa CAF - (CAFCLCC) na Link ipo kwenye bio[emoji3595] ya @yangasc instagram

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko[emoji1666][emoji1666]View attachment 2576485
Chama aje ajifunze hapa
Mbona gepu kubwa hapa

Ahàahahah

Aiseeeee
 
Leo CAF wametoa orodha ya wachezaji wanne wanaowania tuzo ya goli bora hatua ya makundi CAFCC, Hadi kufikia sasa Mudathiri Yahya wa Young Africans anaongoza kwa kura na kura hizo zinachukua masaa 24 tu.
Ni zamu ya Mudathiri
Ni zamu ya Yanga kung'aa CAF

Muda anawania na
. Aymen Mahious wa USM alger
. Aubin Kramo Kouamé wa Asec mimosa
. Paul Acquah wa rivers utd
Goli la Mudathiri alilifunga kwenye mechi dhidi ya TP Mazembe
Let us go Wananchiiiiii[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji817][emoji817][emoji817][emoji95]
Unaweza kupiga Kura kupitia ukurasa wa Twitter wa CAF - (CAFCLCC) na Link ipo kwenye bio[emoji3595] ya @yangasc instagram

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko[emoji1666][emoji1666]View attachment 2576485
Nishapiga mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20230404-201634.png
    Screenshot_20230404-201634.png
    114 KB · Views: 2
Haya onyesheni unafki wenu. Simba walipokuwa wanapiga kura mlikuwa mnakejeli, basi potezeeni hili jambo.

Halafu hilo goli la Mudathir, Simba wamelifunga mara mbili toka wakati huo, mara ya pili katika uwanja mgumu kweli kweli kwa timu ngeni kupata goli.
Ahaaaahah
 
Wanasimba tumekubaliana kuwa goli bora ni lile lililofungwa na Aymen Mahious.

Bado hujachelewa ewe mwanasimba..nenda twitter kwenye page ya CAFCLCC umpigie kura ayman Mahious wa USM Alger.

Mimi nimeshapiga kura wewe unasubiri nini?
Screenshot_20230404-202236~2.png
 
Haya onyesheni unafki wenu. Simba walipokuwa wanapiga kura mlikuwa mnakejeli, basi potezeeni hili jambo.

Halafu hilo goli la Mudathir, Simba wamelifunga mara mbili toka wakati huo, mara ya pili katika uwanja mgumu kweli kweli kwa timu ngeni kupata goli.
Kwa hiyo tukusaidieje mkuu
Halafu ilibidi liwepo na lile aliofunga Mayele dhidi ya Real Bamako, maana ile ball receiving, turning and shooting was marvelous
 
Kwa hiyo tukusaidieje mkuu
Halafu ilibidi liwepo na lile aliofunga Mayele dhidi ya Real Bamako, maana ile ball receiving, turning and shooting was marvelous
Ungesema tu unapendelea Mayele ashinde nafasi hiyo. Ila usihofu, nimeshapiga kura huko.

20230404_205655.jpg
 
Back
Top Bottom