mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Duka halifungwi hapa.Ndiyo , ni ukweli usiopingika kwamba Yanga ndiyo timu pekee hapa Tanzania yenye mafanikio makubwa katika soka la Afrika kutokana na timu hiyo kubeba makombe mengi yanayoandaliwa na CAF hali inayopelekea kuwadhihaki simba katika kila hatua wanayofikia kwenye mashindano hayo.
Makofi tafadhari kwa Yanga !!
Endeleeni tu kujisahaulisha. Wananchi leo wameshaingia mbugani, tayari kumuwinda mnyama!Ndiyo , ni ukweli usiopingika kwamba Yanga ndiyo timu pekee hapa Tanzania yenye mafanikio makubwa katika soka la Afrika kutokana na timu hiyo kubeba makombe mengi yanayoandaliwa na CAF hali inayopelekea kuwadhihaki simba katika kila hatua wanayofikia kwenye mashindano hayo.
Makofi tafadhari kwa Yanga !!
Mnashusha hadhi ya JF, hii ilipaswa iwe ni comment lakini haina sifa wala vigezo vya kuwa eti hii nayo ni thread.Ndiyo , ni ukweli usiopingika kwamba Yanga ndiyo timu pekee hapa Tanzania yenye mafanikio makubwa katika soka la Afrika kutokana na timu hiyo kubeba makombe mengi yanayoandaliwa na CAF hali inayopelekea kuwadhihaki simba katika kila hatua wanayofikia kwenye mashindano hayo.
Makofi tafadhari kwa Yanga !!
ππππNdiyo , ni ukweli usiopingika kwamba Yanga ndiyo timu pekee hapa Tanzania yenye mafanikio makubwa katika soka la Afrika kutokana na timu hiyo kubeba makombe mengi yanayoandaliwa na CAF hali inayopelekea kuwadhihaki simba katika kila hatua wanayofikia kwenye mashindano hayo.
Makofi tafadhari kwa Yanga !!
Bora hata watoto wa siku hizi wana akili.Acha utoto
Jiwe la gizani hilo mkuu . Ukisikia huu! Jua limempata.Mnashusha hadhi ya JF, hii ilipaswa iwe ni comment lakini haina sifa wala vigezo vya kuwa eti hii nayo ni thread.
Ujinga huu.