mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Ndiyo , ni ukweli usiopingika kwamba Yanga ndiyo timu pekee hapa Tanzania yenye mafanikio makubwa katika soka la Afrika kutokana na timu hiyo kubeba makombe mengi yanayoandaliwa na CAF hali inayopelekea kuwadhihaki simba katika kila hatua wanayofikia kwenye mashindano hayo.
Makofi tafadhari kwa Yanga !!
Makofi tafadhari kwa Yanga !!