Ni muda wa Tapeli wa kisiasa kutumiwa na CCM.

Ni muda wa Tapeli wa kisiasa kutumiwa na CCM.

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Alianza Makala (Katibu wa Itikadi CCM) kutabiri "laja varangati la haja ndani ya Chadema." Na kweli utabiri huo umetimu.

Uzuri wa CCM hukutumia na wakijridhisha huna madhara-wanakutupa kama ganda la ndizi.

Sasa, kama walivyopata kutumika waliopita, ndivyo TAPELI LILILOBAINIKA/LILILOJIBAINISHA LEO nalo mwisho wake litatupwa kama jaa!

CCM ni Mafia lijapo suala la hatima ya maslahi yalo/yake. Na CCM, i-radhi kutumia vyote viwezavyo kutumiwa ili tu ivuruge chochote kimeacho ndani ya maslahi yake.

Kwa mujibu wa CCM, Dola kwao ni URINGO WA VITA NA KANUNI YAO NI MOJA-USHINDI.

NB: Hatimaye vaa miwani limejidhirisha wazi kuwa ni TAPELI LA SIASA.
 
Alianza Makala (Katibu wa Itikadi CCM) kutabiri "laja varangati la haja ndani ya Chadema." Na kweli utabiri huo umetimu.

Uzuri wa CCM hukutumia na wakijridhisha huna madhara-wanakutupa kama ganda la ndizi.

Sasa, kama walivyopata kutumika waliopita, ndivyo TAPELI LILILOBAINIKA/LILILOJIBAINISHA LEO nalo mwisho wake litatupwa kama jaa!

CCM ni Mafia lijapo suala la hatima ya maslahi yalo/yake. Na CCM, i-radhi kutumia vyote viwezavyo kutumiwa ili tu ivuruge chochote kimeacho ndani ya maslahi yake.

Kwa mujibu wa CCM, Dola kwao ni URINGO WA VITA NA KANUNI YAO NI MOJA-USHINDI.

NB: Hatimaye vaa miwani limejidhirisha wazi kuwa ni TAPELI LA SIASA.
Matapeli wako ccm, strategy yenu imefeli unajiongelesha upuuzi..watanzania wengi elimu na malezi yao ni sawa na sifuri tu!
 
Back
Top Bottom